Giza (Misri) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeondoa: es (strong connection between (2) sw:Giza (Misri) and es:Guiza),gl (strong connection between (2) sw:Giza (Misri) and gl:Giza),pt (strong connection between (2) sw:Giza (Misri) and pt:Gizé),tr (strong connecti...
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating interwiki links, now provided by Wikidata on d:q81788
Mstari 32: Mstari 32:




[[br:Gizah]]
[[ca:Gizeh]]
[[cs:Gíza]]
[[da:Giza]]
[[en:Giza]]
[[eo:Gizo]]
[[fa:جیزه]]
[[fi:Giza]]
[[fr:Gizeh]]
[[it:Giza]]
[[ja:ギーザ]]
[[lt:Giza]]
[[nl:Gizeh]]
[[no:Giza]]
[[no:Giza]]
[[pl:Giza]]
[[ru:Гиза]]
[[sl:Giza]]
[[sv:Giza]]

Pitio la 12:15, 18 Agosti 2013


Giza
Giza is located in Misri
Giza
Giza

Mahali pa mji wa Giza katika Misri

Majiranukta: 30°01′N 31°13′E / 30.017°N 31.217°E / 30.017; 31.217
Nchi Misri
Mkoa Giza
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 2,443,490
Giza inavyoonekana kutoka angani: Bonde la Nile na mwanzo wa jangwa penye piramidi

Giza (Kar.: الجيزة al-gīza) ni mji wa kaskazini ya Misri unaopakana na mji mkuu Kairo. Kuna wakazi 2,443,490 (2005).

Mji wa Giza waonekana kama mtaa wa Kairo tu lakini ni mji wa pekee. Zamani ilitengwa na mji mkuu kwa uwazi wa mashamba lakini siku hizi miji yote miwili imekua hadi kugusana kabisa.

Giza yajulikana hasa kama mahali pa piramidi.

Angalia pia

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: