Kigyem : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: +Multitree, +ramani using AWB
Addbot (majadiliano | michango)
dNo edit summary
Mstari 10: Mstari 10:
{{DEFAULTSORT:Gyem}}
{{DEFAULTSORT:Gyem}}
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]

[[pms:Lenga Gyem]]

Pitio la 09:30, 16 Aprili 2013

Kigyem ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wagyem. Mwaka wa 1995 idadi ya wasemaji wa Kigyem imehesabiwa kuwa watu 1000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Ki kiko katika kundi la Kikainji.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigyem kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.