Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q45053 (translate me) |
||
Mstari 15: | Mstari 15: | ||
[[Category:Manabii wa Agano la Kale]] |
[[Category:Manabii wa Agano la Kale]] |
||
[[Category:Watakatifu wa Israeli]] |
[[Category:Watakatifu wa Israeli]] |
||
[[it:Gioele (Bibbia)]] |
Pitio la 21:23, 2 Aprili 2013
Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.
Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia, kwa jina la Kitabu cha Yoeli.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba.
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nabii Yoeli kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Viungo vya nje
- Four Prophets at Chabad.org