Madhara yasiyokusudiwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q45939 (translate me) |
||
Mstari 23: | Mstari 23: | ||
[[Jamii:Majeruhi wa kivita]] |
[[Jamii:Majeruhi wa kivita]] |
||
[[Jamii:Siasa]] |
[[Jamii:Siasa]] |
||
[[en:Collateral damage]] |
Pitio la 21:23, 2 Aprili 2013
Madhara yasiyolengwa, Uharibifu wa nyongeza, au Uharibifu wa Ziada (kutoka Kiingereza: Collateral damage) ni istilahi ya kutaja tukio linatokea katika hali ambayo siyo iliyokusudiwa. Istilahi hii hasa hutumika kijeshi katika hali ya kutaja uharibifu wa mali za raia au watu majeruhi ambao si wapiganaji, yaani, raia ya wa kawaida tu.[1]
Mfano ni wakati wa matumizi ya silaha kama mzinga, bomu au kombora dhidi ya wanajeshi adui nyumba za kiraia au watu raia wanaweza kupigwa ama kwa kosa au kutokana na ukali wa mlipuko.
Marejeo
Viungo vya Nje
- Beyond Precision: Issues of Morality and Decision Making in Minimizing Collateral Casualties, ACDIS Occasional Paper by Lt. Col. Dwight A. Roblyer
- USAF Intelligence Targeting Guide - Attachment 7 : Collateral Damage
- The Culture of Collateral Damage: A Genealogy by Glen Perice, The Journal of Poverty, Volume 10, No. 4, 2007
- Army Technology
- Air Force Law Review, Wntr, 2005 by Jefferson D. Reynolds
- The Faces of “Collateral Damage” by Charlie Clements, Friends Journal, April 2003
- Collateral Damage during NATO bombing of SR Yugoslavia 1999 Warning: explicit images
- "Collateral Damage: A Military Euphemism for Murder" by Camillo "Mac" Bica, Znet, April 16, 2007
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |