Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 84 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q27479 (translate me)
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q27479 (translate me)
 
Mstari 14: Mstari 14:


[[Jamii:Ulaya]]
[[Jamii:Ulaya]]

[[diq:Ewropaya Zımey]]

Toleo la sasa la 03:24, 21 Machi 2013

Ulaya ya Kaskazini na nchi zinazokubaliwa kwa kawaida kuwa sehemu zake
Kanda za UM linaonyesha visiwa vya Britania kuwa sehemu ya Ulaya ya Kaskazini.

Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.

Kwa hakika tamko hili lamaanisha:

  • Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.