Auguste Beernaert : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: vls:August Beernaert |
d robot Adding: ja:オーギュスト・ベールナールト |
||
Mstari 22: | Mstari 22: | ||
[[fr:Auguste Beernaert]] |
[[fr:Auguste Beernaert]] |
||
[[id:Auguste Beernaert]] |
[[id:Auguste Beernaert]] |
||
[[ja:オーギュスト・ベールナールト]] |
|||
[[nl:August Beernaert]] |
[[nl:August Beernaert]] |
||
[[no:Auguste Beernaert]] |
[[no:Auguste Beernaert]] |
Pitio la 09:26, 15 Novemba 2007
Auguste Marie Francois Beernaert (26 Julai, 1829 – 6 Oktoba, 1912) alikuwa mwanasheria na mwanasiasa kutoka nchi ya Ubelgiji. Kuanzia 1884 hadi 1894 alikuwa Waziri Mkuu na Waziri wa Fedha. Baadaye alikuwa mwakilishi wa Ubelgiji kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague mwaka wa 1899 na wa 1907. Mwaka wa 1909, pamoja na Paul d’Estournelles alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |