Mkutano huria : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 14 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1067715 (translate me)
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1067715 (translate me)
 
Mstari 6: Mstari 6:
[[Jamii:Mikutano]]
[[Jamii:Mikutano]]


[[ar:لامؤتمر]]
[[de:Tagung#Unkonferenz]]
[[de:Tagung#Unkonferenz]]

Toleo la sasa la 01:25, 14 Machi 2013

Mkutano huria ni mkutano ambao unaendeshwa na wahudhuriaji au wajumbe badala ya mwandaaji au waandaaji wa mkutano. Katika mkutano wa aina hii hakuna watoa mada na wapokea mada, hakuna watoa hotuba na wasikilizaji. Wahudhuriaji wote ndio watoa mada na wapokea mada. Dhana hii imepewa umaarufu na wataalamu wawili wa programu ya tarakilishi, Lenn Pryyor na Dave Winer.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]