Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 96 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q712226 (translate me) |
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q712226 (translate me) |
||
Mstari 19: | Mstari 19: | ||
[[Jamii:Hisabati]] |
[[Jamii:Hisabati]] |
||
[[av:Квадратияб километр]] |
|||
[[de:Quadratmeter#Quadratkilometer]] |
[[de:Quadratmeter#Quadratkilometer]] |
Pitio la 01:25, 14 Machi 2013
Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja
Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.
Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:
- eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
- Mita ya mraba 1,000,000
- Hektari 100
- Ekari 247.105 381
- Maili ya mraba 0.386 102
Au:
- Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
- Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
- Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
- Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047