Kilomita ya mraba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 96 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q712226 (translate me)
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q712226 (translate me)
Mstari 19: Mstari 19:
[[Jamii:Hisabati]]
[[Jamii:Hisabati]]


[[av:Квадратияб километр]]
[[de:Quadratmeter#Quadratkilometer]]
[[de:Quadratmeter#Quadratkilometer]]

Pitio la 01:25, 14 Machi 2013

Kilomita ya mraba (km²) ni kipimo cha eneo; eneo lenye upana na urefu wa kilomita moja

Msingi wake ni mita ya mraba (m²). Kilomita ya mraba hutumika kwa upimaji wa maeneo makubwa duniani kama mji, mkoa, nchi au dunia yote.

Kilometa 1 ya mraba (km²) ni sawa na:

  • eneo la mraba yenye urefu wa kilomita moja kila upande
  • Mita ya mraba 1,000,000
  • Hektari 100
  • Ekari 247.105 381
  • Maili ya mraba 0.386 102

Au:

  • Mita ya mraba 1 = kilometa ya mraba (km²) 0.000 001
  • Hektari 1= kilometa ya mraba (km²) 0.01
  • Maili ya mraba 1 = kilometa ya mraba 2.589 988
  • Ekari 1 = kilometa ya mraba 0.004 047