Chama cha kikomunisti : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza ko:공산당
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 35 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q233591 (translate me)
Mstari 9: Mstari 9:
[[jamii:Siasa]]
[[jamii:Siasa]]


[[an:Partito Comunista]]
[[ast:Partíu Comunista]]
[[bg:Комунистическа партия]]
[[bn:কমিউনিস্ট পার্টি]]
[[ca:Partit comunista]]
[[cs:Komunistická strana]]
[[de:Kommunistische Partei]]
[[el:Κομμουνιστικό κόμμα]]
[[en:Communist party]]
[[eo:Komunista partio]]
[[es:Partido Comunista]]
[[et:Kommunistlik partei]]
[[fi:Kommunistinen puolue]]
[[gan:共產黨]]
[[id:Partai komunis]]
[[it:Partito comunista]]
[[ja:共産党]]
[[ko:공산당]]
[[ko:공산당]]
[[lt:Komunistų partija]]
[[mr:कम्युनिस्ट पक्ष]]
[[nl:Communistische partij]]
[[pl:Partia komunistyczna]]
[[pt:Partido Comunista]]
[[ro:Partid comunist]]
[[ru:Коммунистическая партия]]
[[sh:Komunistička partija]]
[[sk:Komunistická strana]]
[[sr:Комунистичка партија]]
[[th:พรรคคอมมิวนิสต์]]
[[tr:Komünist parti]]
[[uk:Комуністична партія]]
[[vi:Đảng cộng sản]]
[[yo:Ẹgbẹ́ kọ́múnístì]]
[[zh:共产党]]
[[zh-min-nan:Kiōng-sán Tóng]]
[[zh-yue:共產黨]]

Pitio la 06:24, 13 Machi 2013

Nyundo na Mundu, ni alama ya ukomunisti na sehemu ya nembo ya vyama vya kikomunisti

Chama cha kikomunisti ni chama cha kisiasa kinacholenga kufikisha jamii katika hali ya ukomunisti yaani jamii bila matabaka ya matajiri na maskini na bila watu wenye mali nyingi kuliko wengine. Katika nadharia hali hii ya ukomunisti imedhaniwa kuwa bila utawala wa watu juu ya wengine lakini nadharia hii inadai pia ya kwamba kuna kipindi cha mpito ambako chama cha kikomunisti kinatawala kwa namna ya kidikteta hadi mabaki ya utaratibu wa kale yamekwisha ambayo yanaweza kuzuia au kuchelewesha maendeleo ya kuelekea ukomunisti.

Vyama vya Wakomunisti vilifaulu kushika serikali katika Urusi tangu 1917, katika Umoja wa Kisovyeti tangu mnamo 1920 / 1924 halafu katika nchi za Ulaya ya Mashariki tangu 1945 / 46. Katika China, Korea ya Kaskazini na Vietnam ya Kaskazini Wakomunisti walitawala tangu mnamo 1948 /49. Vyama mbalimbali katika nchi kadhaa za Afrika vilifuata mtindo wa Wakomunisti kwa namna fulani na kushika utawala kwa miaka kadhaa.

Utawala wa vyama vya kikomunisti uliporomoka mnamo 1989 katika nchi nyingi na leo hii (2011) vyama vya kikomunisti vinatawala katika nchi chache pekee kama vile China, Vietnam na Kuba. Lakini havilengi tena kufikia shabaha ya ukomunisti.