Kizangwal : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d →‎Viungo vya nje: +Multitree, +ramani using AWB
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q3441387 (translate me)
Mstari 10: Mstari 10:
{{DEFAULTSORT:Zangwal}}
{{DEFAULTSORT:Zangwal}}
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]

[[en:Zangwal language]]
[[hr:Zangwal jezik]]
[[pms:Lenga Zangwal]]

Pitio la 17:09, 11 Machi 2013

Kizangwal ni lugha ya Kiafrika-Kiasia nchini Nigeria inayozungumzwa na Wazangwal. Mwaka wa 1993 idadi ya wasemaji wa Kizangwal imehesabiwa kuwa watu 100 tu, yaani lugha iko katika hatari ya kutoweka. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kizangwal kiko katika kundi la Kichadiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kizangwal kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.