Kisamba-Leko : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Kisamba-Leko (lugha) umesogezwa hapa Kisamba-Leko: mabano siyo lazima
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q36381 (translate me)
Mstari 11: Mstari 11:
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]
[[Jamii:Lugha za Nigeria]]
[[Jamii:Lugha za Kamerun]]
[[Jamii:Lugha za Kamerun]]

[[de:Samba Leko]]
[[en:Chamba Leko]]
[[pms:Lenga Samba Leko]]

Pitio la 16:50, 11 Machi 2013

Kisamba-Leko ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wasamba-Leko. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kisamba-Leko nchini Nigeria imehesabiwa kuwa watu 62,000. Pia kuna wasemaji nchini Kamerun. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisamba-Leko kiko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisamba-Leko kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.