Kisamba-Leko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kisamba-Leko (lugha) umesogezwa hapa Kisamba-Leko: mabano siyo lazima |
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q36381 (translate me) |
||
Mstari 11: | Mstari 11: | ||
[[Jamii:Lugha za Nigeria]] |
[[Jamii:Lugha za Nigeria]] |
||
[[Jamii:Lugha za Kamerun]] |
[[Jamii:Lugha za Kamerun]] |
||
[[de:Samba Leko]] |
|||
[[en:Chamba Leko]] |
|||
[[pms:Lenga Samba Leko]] |
Pitio la 16:50, 11 Machi 2013
Kisamba-Leko ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Nigeria inayozungumzwa na Wasamba-Leko. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kisamba-Leko nchini Nigeria imehesabiwa kuwa watu 62,000. Pia kuna wasemaji nchini Kamerun. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisamba-Leko kiko katika kundi la Kiadamawa-Ubangi.
Viungo vya nje
- lugha ya Kisamba-Leko kwenye Multitree
- ramani ya Kisamba-Leko
- http://www.ethnologue.org/show_language.asp?code=ndi
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kisamba-Leko kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |