Jimbo Kuu la Mbeya : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza zh:天主教姆貝亞教區
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 5 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q284482 (translate me)
Mstari 29: Mstari 29:


[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Mbeya]]
[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Mbeya]]

[[de:Bistum Mbeya]]
[[en:Roman Catholic Diocese of Mbeya]]
[[it:Diocesi di Mbeya]]
[[ru:Епархия Мбеи]]
[[zh:天主教姆貝亞教區]]

Pitio la 16:43, 11 Machi 2013

Jimbo katoliki la Mbeya (kwa Kilatini Dioecesis Mbeyaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Songea.

Askofu wake ni Evaristo Marc Chengula.

Historia

Uongozi

Takwimu

Eneo ni la kilometa mraba 60,348, ambapo kati ya wakazi 2,082,000 (2006) Wakatoliki ni 347,347 (16.7%).

Viungo vya nje