Ulafi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza pl:Łakomstwo
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 23 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q181022 (translate me)
Mstari 15: Mstari 15:
[[Jamii:Maadili]]
[[Jamii:Maadili]]
[[Category:Vichwa vya dhambi]]
[[Category:Vichwa vya dhambi]]

[[br:Lontegezh]]
[[ca:Gola (pecat)]]
[[cs:Nestřídmost]]
[[de:Völlerei]]
[[el:Λαιμαργία]]
[[en:Gluttony]]
[[eo:Glutemeco]]
[[es:Gula]]
[[fr:Gourmandise]]
[[he:גרגרנות]]
[[it:Gola (ingordigia)]]
[[lt:Apsirijimas]]
[[no:Fråtseri]]
[[pl:Łakomstwo]]
[[pt:Gula]]
[[ru:Обжорство]]
[[scn:Gulusarìa]]
[[simple:Gluttony]]
[[sk:Obžerstvo]]
[[sv:Frosseri]]
[[tl:Katakawan]]
[[uk:Ненажерливість]]
[[zh:貪食]]

Pitio la 16:09, 11 Machi 2013

Sehemu inayohusu ulafi katika mchoro wa Hieronymus Bosch kuhusu vilema vikuu saba na vikomo vinne vya binadamu.
Vilema vikuu

Ulafi (pamoja na ulevi) ni hamu isiyoratibiwa ya kula (na kunywa).

Tabia hiyo ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu.

Inakadiriwa kuwa siku hizi mtu 1 kati ya 3 anakula kuliko mwili wake unavyohitaji, na hivyo anasababisha maradhi mbalimbali yampate.

Upande wa maadili unahesabiwa kuwa kimojawapo kati ya vilema vikuu, ambavyo ni mizizi ya dhambi nyingine.