Monterrey, Nuevo León : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 61 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q81033 (translate me)
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q81033 (translate me)
Mstari 24: Mstari 24:
[[Jamii:Miji ya Mexiko]]
[[Jamii:Miji ya Mexiko]]
[[Jamii:Nuevo León]]
[[Jamii:Nuevo León]]

[[ar:مونتيري]]

Pitio la 13:02, 11 Machi 2013


Jiji la Monterrey
Nchi Mexiko
Jimbo Nuevo León
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,133,814
Tovuti:  www.monterrey.gob.mx

Monterrey (montɛˈrei) ndiyo mji mkuu na mji mkubwa katika jimbo la Nuevo León. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2005, mji una wakazi wapatao 1,133,814 wanaoishi katika mji huu. Eneo lake ni 860.70 km².

Ni mji muhimu wa biashara na viwanda.

Mji uliundwa mwaka 1596.

Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Monterrey, Nuevo León kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.