Louisiana : Tofauti kati ya masahihisho
d Bot: Migrating 144 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1588 (translate me) |
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1588 (translate me) |
||
Mstari 38: | Mstari 38: | ||
[[Jamii:Ghuba ya Meksiko]] |
[[Jamii:Ghuba ya Meksiko]] |
||
[[Jamii:Majimbo ya Marekani]] |
[[Jamii:Majimbo ya Marekani]] |
||
[[ckb:لویزیانا]] |
Pitio la 12:47, 11 Machi 2013
Louisiana | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Baton Rouge | ||
Eneo | |||
- Jumla | 134,264 km² | ||
- Kavu | 112,825 km² | ||
- Maji | 21,440 km² | ||
Tovuti: http://www.louisiana.gov/ |
Louisiana (Kiingereza: State of Louisiana, Kifaransa: État de Louisiane) ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Baton Rouge (Kifaransa: banzi nyekundu) na mji mukubwa jimboni New Orleans (Orleans Mpya). Upande wa kusini ni maji ya ghuba ya Meksiko. Imepakana na Arkansas, Mississippi na Texas. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 4,410,796 (2008) wanaokalia eneo la 135,382 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.
Viungo vya Nje
State of Louisiana Official Website
Majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Louisiana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |