Kanuni ya Pauli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Mstari 20: Mstari 20:
[[gl:Principio de exclusión de Pauli]]
[[gl:Principio de exclusión de Pauli]]
[[he:עקרון האיסור של פאולי]]
[[he:עקרון האיסור של פאולי]]
[[hr:Paulijev princip isključenja]]
[[hu:Pauli-elv]]
[[hu:Pauli-elv]]
[[it:Principio di esclusione di Pauli]]
[[it:Principio di esclusione di Pauli]]

Pitio la 04:05, 9 Novemba 2007

Kanuni ya Pauli ilitangazwa mwaka wa 1925 na Wolfgang Pauli. Inahusu elektroni za atomu. Kila elektroni ina tarakimu nne za kwanta. Kanuni ya Pauli inadai kwamba tarakimu hizo nne haziwezekani kuwa sawa kwa elektroni mbili ndani ya atomu moja.