Kyushu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 74 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q13987 (translate me)
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q13987 (translate me)
 
Mstari 17: Mstari 17:
[[Jamii:Japani]]
[[Jamii:Japani]]
[[Jamii:Kyushu| ]]
[[Jamii:Kyushu| ]]

[[eo:Kiuŝuo]]
[[eu:Kyūshū]]

Toleo la sasa la 12:02, 11 Machi 2013

Mahali pa Kyūshū katika Japani

Kyūshū ni kisiwa kikubwa cha tatu nchini Japani na kisiwa cha kusini kati ya visiwa vikubwa vinne vya nchi. Neno kyushu lamaanisha "mikoa tisa" iliyohesabiwa zamani kisiwani.

Idadi ya wakzi ilikuwa 14,779,000 mnamo mwaka 2003.

Kuna milima mingi pamoja na volkeno kama vile mlima Aso (1,592 m) ambayo ni volkeno hai.

Miji muhimu ni Fukuoka, Kitakyūshū na Nagasaki.

Hali ya hewa ni la joto wastani. Mazao ya mpunga, chai, tumbako, viazi na soya hustawi vizuri.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]