George Porter : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 31 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q106762 (translate me)
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q106762 (translate me)
Mstari 11: Mstari 11:
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Watu waliopewa cheo cha "Sir"]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]
[[Jamii:Tuzo ya Nobel ya Kemia]]

[[de:George Porter, Baron Porter of Luddenham]]

Pitio la 11:57, 11 Machi 2013

George Porter (6 Desemba 192031 Agosti 2002) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Hasa alichunguza hali za ulinganifu wa molekuli. Mwaka wa 1967, pamoja na Manfred Eigen na Ronald Norrish alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia. Mwaka wa 1972 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu George Porter kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.