Frederick Robbins : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 26 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q309885 (translate me) |
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q309885 (translate me) |
||
Mstari 10: | Mstari 10: | ||
{{Mbegu-mwanasayansi}} |
{{Mbegu-mwanasayansi}} |
||
[[bn:ফ্রেড্রিখ চ্যাপম্যান রবিন্স]] |
|||
[[oc:Frederick Chapman Robbins]] |
Pitio la 10:45, 11 Machi 2013
Frederick Chapman Robbins (25 Agosti 1916 – 4 Agosti 2003) alikuwa daktari wa watoto kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1954, pamoja na John Enders na Thomas Weller alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Frederick Robbins kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |