Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|Nabii Yoeli alivyochorwa na [[Michelangelo katika kuta za Cappella Sistina, Vatikano.]] '''Nabii Yoeli''' ...'
 
No edit summary
Mstari 2: Mstari 2:
'''Nabii Yoeli''' (kwa [[Kiebrania]] '''יואל''', ''Yoel'', maana yake [[YHWH]] ni [[Mungu]]) alikuwa [[nabii]] wa [[Israeli ya Kale]], labda katikati ya [[karne ya 4 KK]].
'''Nabii Yoeli''' (kwa [[Kiebrania]] '''יואל''', ''Yoel'', maana yake [[YHWH]] ni [[Mungu]]) alikuwa [[nabii]] wa [[Israeli ya Kale]], labda katikati ya [[karne ya 4 KK]].


[[Ujumbe]] wake unapatikana katika [[gombo]] la [[Manabii Wadogo]] la [[Biblia]].
[[Ujumbe]] wake unapatikana katika [[gombo]] la [[Manabii Wadogo]] la [[Biblia]], kwa jina la [[Kitabu cha Yoeli]].


Anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huwa tarehe [[19 Oktoba]].
Anaheshimiwa kama [[mtakatifu]]. [[Sikukuu]] yake huwa tarehe [[19 Oktoba]].


{{mbegu-mtu-Biblia}]
{{mbegu-mtu-Biblia}}


== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
* [http://www.chabad.org/library/article_cdo/aid/464027/jewish/Four-Prophets.htm Four Prophets] at Chabad.org
{{commons}}
{{commons}}



Pitio la 07:52, 10 Machi 2013

Nabii Yoeli alivyochorwa na Michelangelo katika kuta za Cappella Sistina, Vatikano.

Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.

Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia, kwa jina la Kitabu cha Yoeli.

Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba.

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nabii Yoeli kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: