Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|Nabii Yoeli alivyochorwa na [[Michelangelo katika kuta za Cappella Sistina, Vatikano.]] '''Nabii Yoeli''' ...' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 07:49, 10 Machi 2013
Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.
Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia.
Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba.
{{mbegu-mtu-Biblia}]