Nabii Yoeli : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|right|Nabii Yoeli alivyochorwa na [[Michelangelo katika kuta za Cappella Sistina, Vatikano.]] '''Nabii Yoeli''' ...'
(Hakuna tofauti)

Pitio la 07:49, 10 Machi 2013

Nabii Yoeli alivyochorwa na Michelangelo katika kuta za Cappella Sistina, Vatikano.

Nabii Yoeli (kwa Kiebrania יואל, Yoel, maana yake YHWH ni Mungu) alikuwa nabii wa Israeli ya Kale, labda katikati ya karne ya 4 KK.

Ujumbe wake unapatikana katika gombo la Manabii Wadogo la Biblia.

Anaheshimiwa kama mtakatifu. Sikukuu yake huwa tarehe 19 Oktoba.

{{mbegu-mtu-Biblia}]

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu: