Uainishaji wa kisayansi : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza gn:Tekovekuaaty ñemohenda
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 99 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q11398 (translate me)
Mstari 87: Mstari 87:
[[Jamii:Uainishaji]]
[[Jamii:Uainishaji]]


[[af:Wetenskaplike klassifikasie]]
[[an:Clasificación scientifica]]
[[ang:Cræftlicu endebyrdung]]
[[ar:تصنيف حيوي]]
[[as:জীৱবৈজ্ঞানিক শ্ৰেণীবিভাজন]]
[[ast:Clasificación biolóxica]]
[[az:Bioloji təsnifat]]
[[ba:Биологик систематика]]
[[bat-smg:Muokslėnė klasėfėkacėjė]]
[[be:Біялагічная сістэматыка]]
[[be-x-old:Біялягічная клясыфікацыя]]
[[bg:Класификация на организмите]]
[[bn:জীববৈজ্ঞানিক শ্রেণীবিন্যাস]]
[[bs:Naučna klasifikacija]]
[[ca:Classificació científica]]
[[cs:Biologická klasifikace]]
[[cy:Dosbarthiad gwyddonol]]
[[da:Videnskabeligt artsnavn]]
[[de:Taxonomie#Taxonomie in der Biologie]]
[[de:Taxonomie#Taxonomie in der Biologie]]
[[el:Συστηματική ταξινόμηση]]
[[en:Biological classification]]
[[eo:Biologia klasado]]
[[es:Clasificación biológica]]
[[eu:Sailkapen zientifiko]]
[[fa:طبقه‌بندی علمی جانداران]]
[[fi:Tieteellinen luokittelu]]
[[fr:Classification scientifique des espèces]]
[[frr:Taksonomii faan diarten an plaanten]]
[[ga:Aicmiú eolaíoch]]
[[gl:Clasificación científica]]
[[gn:Tekovekuaaty ñemohenda]]
[[got:𐍄𐌴𐍅𐌰𐌽𐍉𐌼𐌾𐌰]]
[[he:מיון עולם הטבע]]
[[hi:जीववैज्ञानिक वर्गीकरण]]
[[hif:Scientific classification]]
[[hr:Taksonomske klasifikacije]]
[[hu:Rendszertan (biológia)]]
[[hy:Կենդանի օրգանիզմների դասակարգում]]
[[ia:Classification scientific]]
[[id:Klasifikasi ilmiah]]
[[io:Ciencala klasifikuro di speci]]
[[is:Vísindaleg flokkun]]
[[it:Classificazione scientifica]]
[[ja:生物の分類]]
[[ka:ბიოლოგიური კლასიფიკაცია]]
[[kaa:Haywanlar sistematikası]]
[[kbd:Биологиэ систематикэ]]
[[km:Biological classification]]
[[kn:ಜೈವಿಕ ವಿಂಗಡಣೆ]]
[[ko:생물 분류]]
[[ku:Dabeşandina biyolojîk]]
[[ky:Биологиялык классификация]]
[[la:Classificatio biologica]]
[[lmo:Clasificasiù scentìfica]]
[[lt:Mokslinė klasifikacija]]
[[lv:Organismu klasifikācija]]
[[mhr:Биологий классификаций]]
[[ml:ശാസ്ത്രീയ വർഗ്ഗീകരണം]]
[[mn:Биологийн ангилал]]
[[mr:जैविक वर्गीकरण]]
[[ms:Pengelasan biologi]]
[[my:ဇီဝဆိုင်ရာ အမျိုးအစား ခွဲခြားခြင်း]]
[[nl:Taxonomie#Taxonomie in de biologie]]
[[nl:Taxonomie#Taxonomie in de biologie]]
[[nn:Biologisk klassifisering]]
[[no:Biologisk klassifikasjon]]
[[nov:Siential klasifikatione]]
[[oc:Classificacion scientifica]]
[[pa:ਜੀਵ ਵਿਗਿਆਨਕ ਵਰਗੀਕਰਣ]]
[[pl:Klasyfikacja biologiczna]]
[[pnb:جیون ٹولی بنانا]]
[[pt:Classificação científica]]
[[qu:Mitan kamay katiguriya]]
[[ro:Clasificare științifică]]
[[ru:Биологическая систематика]]
[[rue:Біолоґічна класіфікація]]
[[sah:Биология классификацията]]
[[sc:Classificatzione sientìfica]]
[[scn:Classificazzioni scintìfica]]
[[sh:Taksonomske kategorije]]
[[simple:Biological classification]]
[[sk:Vedecká klasifikácia]]
[[sl:Znanstvena klasifikacija živih bitij]]
[[sr:Таксономске категорије]]
[[sv:Vetenskapligt namn]]
[[ta:உயிரியல் வகைப்பாடு]]
[[th:การจำแนกชั้นทางวิทยาศาสตร์]]
[[tk:Biologik sistematika]]
[[tl:Pag-uuring pambiyolohiya]]
[[to:Fakafaʻafaʻahinga fakasaienisi]]
[[tr:Bilimsel sınıflandırma]]
[[tt:Биологик классификация]]
[[uk:Біологічна класифікація]]
[[ur:جماعت بندی]]
[[uz:Biologik klassifikatsiya]]
[[vec:Clasificasion sientìfega]]
[[vi:Phân loại sinh học]]
[[wa:Sincieus rindjmint do vicant]]
[[war:Biyolohika nga pagarangay]]
[[zh:生物分類法]]
[[zh-min-nan:Seng-bu̍t-ha̍k hun-lūi]]
[[zh-yue:物種分類]]

Pitio la 18:04, 9 Machi 2013

Ngazi za uainishaji katika biolojia; ngazi ndogo za kati hazionyeshwi

Uainishaji wa kisayansi ni namna jinsi wataalamu wa biolojia hupanga viumbehai kama mimea na wanayama kwa vikundi kwenye ngazi mbalimbali. Inaweza kuitwa pia taksonomia.

Tangu muda mrefu watu walitambua ya kwamba wanyama au mimea mbalimbali wanafanana kati yao kwa namna moja au nyingine. Wataalamu walijaribu kupanga aina hizi kwa vikundi vyenye tabia za pamoja. Carolus Linnaeus alianza kuzipanga kwa muundo ulioeleweka kulingana na tabia za maubile yao.

Mfumo wa Linnaeus uliendelezwa baadaye kulingana na nadharia ya Charles Darwin inayoona ya kwamba spishi mbalimbali huwa na chanzo cha pamoja kwa hiyo inawezakana kupanga uhai wote kama matawi ya mti yenye matawi makubwa na tena madogo yanayotoka kwenye makubwa.

Ujuzi wa kisasa kutokana na utafiti wa DNA ndani ya seli za viumbehai unaendelea kuongeza ujuzi wetu kwa hiyo katika mengi uainishaji ni utaalamu unaozidi kubadilika.

Majina ya Kisayansi

Kila spishi ya viumbehai inapewa jina la kisayansi lenye maneno mawili kufuatana na muundo wa uainishaji. Jina la Kisayansi linaanza kwa kutaja jenasi inayoandikwa kwa herufi kubwa halafu neno la pili kama sehemu maalum ya jina ya spishi ile. Kwa mabano hufuata jina la mtaalamu wa spishi pamoja na mwaka alikoandika maelezo yake.

Kwa mfano paka anaitwa Felis silvestris (Linnaeus 1758) na spishi hii inajumlisha paka wa porini na paka wa nyumbani.

  • Felis ni jina la jenasi. Jenasi huandikwa kwa herufi kubwa.
  • "silvestris" ni sehemu ya pili la neno; linasema "wa msituni" kwa sababu inaaminiwa ya kwamba asili ya paka hizi zote ni aina ya paka wa porini wa Asia, Ulaya na Afrika Kaskazini.

Paka wa nyumbani anayefugwa na watu anatazamiwa kama nususpishi na nususpishi hii inaweza kutofautishwa kwa kuongeza neno la tatu "catus" kuwa "Felis silvestris catus". Hili ni jina la nususpishi ya paka wanaofugwa na watu. Nususpishi hii ina aina nyingi ndani yake kutokana na ufugaji na uteuzi lakini zote zimo ndani ya nususpishi ileile.

Katika mabano lipo jina la mtaalamu aliyeeleza spishi hii mara ya kwanza kwa namna ya kisayansi pamoja na mwaka alipoandika. Katika mfano wa paka ni Carolus Linnaeus anayefupishwa mara nyingi kama "L.". Aliandika kitabu chake mwaka 1728.

Umbo la majina katika uinishaji

Katika ainishaji wataalamu wamepatana jinsi ya kutumia majina kwa ngazi mablimbali. Umbo la majina haya hufuata sarufi ya Kilatini.

Ngazi Mimea
(planta)
Mwani
(algae)
Nyoga
(fungi)
Wanyama
(animalia)
Faila -phyta -mycota
Nusufaila -phytina -mycotina
Ngeli -opsida -phyceae -mycetes
Nusungeli -idae -phycidae -mycetidae
Oda ya juu -anae
Oda -ales
Nusuoda -ineae
Familia ya juu -acea -oidea
Familia -aceae -idae
Nusufamilia -oideae -inae
Kabila -eae -ini
Nusukabila -inae -ina