Adalbert wa Magdeburg : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza ca:Adalbert de Magdeburg
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 13 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q77394 (translate me)
Mstari 40: Mstari 40:


{{mbegu-Mkristo}}
{{mbegu-Mkristo}}

[[ca:Adalbert de Magdeburg]]
[[de:Adalbert von Magdeburg]]
[[en:Adalbert (Archbishop of Magdeburg)]]
[[es:Adalberto de Magdeburgo]]
[[fr:Adalbert de Magdebourg]]
[[it:Adalberto di Magdeburgo]]
[[nl:Adalbert van Maagdenburg]]
[[pl:Adalbert z Magdeburga]]
[[pt:Adalberto de Magdeburgo]]
[[ru:Адальберт Магдебургский]]
[[sh:Adalbert od Magdeburga]]
[[sv:Adalbert av Magdeburg]]
[[uk:Адальберт Магдебурзький]]

Pitio la 14:51, 9 Machi 2013

Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg

Mtakatifu Adalbert wa Magdeburg (na Adalbert wa Magdeburg) (alifariki tarehe 20 Juni, 981) alikuwa mmisionari na askofu mkuu wa kwanza wa mji wa Magdeburg, Ujerumani.

Ametambuliwa kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 20 Juni.

Maisha

Adalbert alizaliwa Ujerumani na kuwa mtawa katika monasteri ya Wabenedikto wa mji wa Trier.

Baada ya kuwekwa wakfu kama askofu, mwaka 961 alitumwa mjini Kiev (Ukraine) kama mmisionari.

Kundi lake lote liliuawa, naye peke yake aliweza kurudi Ujerumani.

Baadaye aliteuliwa kuwa askofu mkuu wa dayosisi ya Magdeburg.

Alianzisha madayosisi mapya mengi upande wa Mashariki wa Ujerumani, kama katika miji ya Naumburg, Meisen, Merseburg, Brandenburg, Havelberg, na Poznan.

Mwanafunzi wake mmoja aliyetangazwa kuwa mtakatifu kama yeye ni Adalbert wa Praha.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.