Waraka kwa Wakolosai : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 54 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q131095 (translate me)
Mstari 29: Mstari 29:
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]
[[Jamii:Vitabu vya Agano Jipya|Kol]]


[[ar:الرسالة إلى أهل كولوسي]]
[[arc:ܐܓܪܬܐ ܕܠܘܬ ܩܘܠܣܝܐ]]
[[bar:Briaf an de Kolossa]]
[[be:Каласянам]]
[[ca:Epístola als Colossencs]]
[[cdo:Gŏ̤-lò̤-să̤ Cṳ̆]]
[[cs:List Koloským]]
[[da:Paulus' Brev til Kolossenserne]]
[[de:Brief des Paulus an die Kolosser]]
[[el:Επιστολή προς Κολοσσαείς]]
[[en:Epistle to the Colossians]]
[[eo:Epistolo al la koloseanoj]]
[[es:Epístola a los colosenses]]
[[fa:نامه به کولسیان]]
[[fi:Kirje kolossalaisille]]
[[fr:Épître aux Colossiens]]
[[fur:Letare ai Colossets]]
[[hak:Kô-lò-sî-sû]]
[[he:האיגרת אל הקולוסים]]
[[hr:Poslanica Kološanima]]
[[hu:Pál levele a kolosszébeliekhez]]
[[id:Surat Paulus kepada Jemaat di Kolose]]
[[it:Lettera ai Colossesi]]
[[ja:コロサイの信徒への手紙]]
[[jv:Layang Paulus Kolose]]
[[ko:콜로새 신자들에게 보낸 서간]]
[[la:Epistula ad Colossenses]]
[[lmo:Letera ai Culusses]]
[[lt:Laiškas kolosiečiams]]
[[lv:Pāvila vēstule kolosiešiem]]
[[mk:Послание до Колосјаните]]
[[ml:കൊളോസോസുകാർക്ക് എഴുതിയ ലേഖനം]]
[[nl:Brief van Paulus aan de Kolossenzen]]
[[no:Paulus' brev til kolosserne]]
[[pl:List do Kolosan]]
[[pt:Epístola aos Colossenses]]
[[qu:Kolosoyuqkunapaq qillqa]]
[[ro:Epistola lui Pavel către coloseni]]
[[ru:Послание к Колоссянам]]
[[rw:Urwandiko rw’Abakolosayi]]
[[sh:Poslanica Kološanima]]
[[simple:Epistle to the Colossians]]
[[sk:List Kolosanom]]
[[sm:O le tusi a Paulo ia Kolose]]
[[sr:Посланица Колошанима]]
[[sv:Kolosserbrevet]]
[[ta:கொலோசையர் (நூல்)]]
[[th:จดหมายของนักบุญเปาโลถึงชาวโคโลสี]]
[[tl:Sulat sa mga taga-Colosas]]
[[ug:كولوسىلىقلارغا يېزىلغان خەت]]
[[uk:Послання до колоссян]]
[[vep:Kirjaine kolossalaižile]]
[[vi:Thư gửi tín hữu Côlôxê]]
[[yo:Episteli sí àwọn ará Kólóssè]]
[[yo:Episteli sí àwọn ará Kólóssè]]
[[zh:歌羅西書]]

Pitio la 14:39, 9 Machi 2013

Agano Jipya


Barua kwa Wakolosai ni kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya ambalo pamoja na Agano la Kale linaunda Biblia ya Wakristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Muda wa uandishi

Barua hiyo ni mojawapo kati ya zile za mwishomwisho za Mtume Paulo na inaonyesha maendeleo ya teolojia yake, hasa kutokana na muda mrefu wa kutafakari aliojaliwa kifungoni.

Mazingira

Kanisa la Kolosai, mji wa biashara karibu na Efeso lilianzishwa na mwanafunzi wa Paulo, labda Epafra, halafu likaingiwa na mafundisho ya ajabuajabu yaliyochanganya mambo ya Kiyahudi na ya Kipagani na yaliyozingatia mno ukuu wa malaika juu ya ulimwengu.

Ndiyo sababu huenda Paulo, akiwa kifungoni Roma kati ya miaka 61 na 63, akawajibika kuliandikia barua inayoonyesha kuwa Yesu Kristo ni mkuu kuliko wote: vyote kabisa viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake, tena katika ubinadamu wake umo utimilifu wote wa Mungu.

Yeye ndiye “fumbo” kwa kuwa Mungu ametimiza mpango wa wokovu kwa njia yake.

Hakuna sababu ya kutafuta kwingine hekima na maarifa, wala ya kujiwekea masharti ya kibinadamu yasiyosaidia kuokoka (Kol 1:13-29; 2:6-3:4; 3:5-17).

Mpangilio

Mpangilio wa barua ni kama kawaida ya barua za Paulo: utangulizi, mafundisho ya imani, maonyo kuhusu uzushi, mawaidha na hatima.


Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili