Mahakama Kuu ya Kimataifa : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza af:Internasionale Geregshof
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 86 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7801 (translate me)
Mstari 70: Mstari 70:
[[Jamii:Sheria]]
[[Jamii:Sheria]]


[[af:Internasionale Geregshof]]
[[an:Cort Internacional de Chusticia]]
[[ar:محكمة العدل الدولية]]
[[arz:محكمة العدل الدوليه]]
[[az:Beynəlxalq ədalət məhkəməsi]]
[[bat-smg:Tarptautėnis Teisėngoma Teismos]]
[[be:Міжнародны суд ААН]]
[[be-x-old:Міжнародны Суд ААН]]
[[bg:Международен съд]]
[[bn:আন্তর্জাতিক ন্যায়বিচার আদালত]]
[[br:Lez-varn Etrebroadel]]
[[bs:Međunarodni sud pravde]]
[[ca:Cort Internacional de Justícia]]
[[cs:Mezinárodní soudní dvůr]]
[[cy:Llys Cyfiawnder Rhyngwladol]]
[[da:Den Internationale Domstol]]
[[de:Internationaler Gerichtshof]]
[[el:Διεθνές Δικαστήριο της Χάγης]]
[[en:International Court of Justice]]
[[eo:Internacia Kortumo]]
[[es:Corte Internacional de Justicia]]
[[et:Rahvusvaheline Kohus]]
[[eu:Nazioarteko Justizia Auzitegia]]
[[fa:دیوان بین‌المللی دادگستری]]
[[fi:Kansainvälinen tuomioistuin]]
[[fiu-vro:Riikevaihõlinõ Kohus]]
[[fr:Cour internationale de justice]]
[[frp:Cort entèrnacionâla de justice]]
[[fy:Ynternasjonaal Gerjochtshof]]
[[gl:Tribunal Internacional de Xustiza]]
[[he:בית הדין הבינלאומי לצדק]]
[[hi:अंतर्राष्ट्रीय न्यायालय]]
[[hif:International Court of Justice]]
[[hr:Međunarodni sud]]
[[hu:Nemzetközi Bíróság]]
[[hy:Արդարադատության միջազգային դատարան]]
[[id:Mahkamah Internasional]]
[[is:Alþjóðadómstóllinn]]
[[it:Corte Internazionale di Giustizia]]
[[ja:国際司法裁判所]]
[[jv:Mahkamah Internasional]]
[[ka:გაეროს საერთაშორისო სასამართლო]]
[[kk:БҰҰ-ның халықаралық соты]]
[[kn:ಅಂತರರಾಷ್ಟ್ರೀಯ ನ್ಯಾಯಾಲಯ]]
[[ko:국제 사법 재판소]]
[[krc:БМО-ну Халкъла арасы сюдю]]
[[la:Iudicium inter Civitates]]
[[lt:Tarptautinis Teisingumo Teismas]]
[[lv:Starptautiskā tiesa]]
[[mk:Меѓународен суд за правда]]
[[ml:അന്തർദേശീയ നീതിന്യായ കോടതി]]
[[mn:Олон улсын шүүх]]
[[mr:आंतरराष्ट्रीय न्यायालय]]
[[ms:Mahkamah Keadilan Antarabangsa]]
[[my:အပြည်ပြည်ဆိုင်ရာ တရားရုံး]]
[[ne:अन्तरराष्ट्रीय न्यायालय]]
[[new:इन्टरन्यासनल कोर्ट अफ जस्टिस]]
[[nl:Internationaal Gerechtshof]]
[[nn:Den internasjonale domstolen]]
[[no:Den internasjonale domstolen]]
[[oc:Cort Internacionala de Justícia]]
[[pl:Międzynarodowy Trybunał Sprawiedliwości]]
[[pnb:عالمی عدالت]]
[[pt:Tribunal Internacional de Justiça]]
[[ro:Curtea Internațională de Justiție]]
[[ru:Международный суд ООН]]
[[rue:Міджінародный суд]]
[[sh:Međunarodni sud pravde]]
[[simple:International Court of Justice]]
[[sk:Medzinárodný súdny dvor]]
[[sl:Meddržavno sodišče OZN]]
[[sq:Gjykata Ndërkombëtare e Drejtësisë]]
[[sr:Међународни суд правде]]
[[su:Mahkamah Internasional]]
[[sv:Internationella domstolen i Haag]]
[[ta:அனைத்துலக நீதிமன்றம்]]
[[te:అంతర్జాతీయ న్యాయస్థానం]]
[[th:ศาลยุติธรรมระหว่างประเทศ]]
[[tl:Pandaigdigang Hukuman ng Katarungan]]
[[tl:Pandaigdigang Hukuman ng Katarungan]]
[[tr:Uluslararası Adalet Divanı]]
[[uk:Міжнародний суд]]
[[ur:بین الاقوامی عدالت انصاف]]
[[vi:Tòa án Công lý Quốc tế]]
[[war:Kanasoran nga Hukmanan han Katadungan]]
[[yi:אינטערנאציאנאלע געריכט פון יוסטיץ]]
[[zh:国际法院]]
[[zh-min-nan:Kok-chè Su-hoat Hoat-īⁿ]]

Pitio la 14:29, 9 Machi 2013

Jumba la Amani mjini Den Haag ni makao makuu ya mahakama kuu ya kimataifa

Mahakama Kuu ya Kimataifa (International Court of Justice kifupi ICJ) ni taasisi kuu ya kisheria ya Umoja wa Mataifa (UM). Madaraka yake yamepangwa katika katiba ya UM na makao makuu yapo Den Haag. Iliundwa mwaka 1945 ikachukua nafasi ya mahakama ya kimataifa ya awali iliyofanya kazi chini ya mamlaka ya Shirikisho la Mataifa.

Inaamua juu ya matatizo kati ya nchi. Ni tofauti na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai inayoamua juu ya watu kama watendaji wa jinai maalumu.

Madaraka

Madaraka ya mahakama hii yanahusu madola pekee ambayo ni wanachama wa UM au yale yaliyokubali mapatano juu ya mahakama kuu ya kimataifa. Mahakama inashughulika kesi kama nchi zote husika zimewahi kukubali kesi isikilizwe mbele yake. Tangu kuundwa 1945 hadi mwaka 2003 ilitoa hukumu 76 pamoja na maoni ya kisheria 24.

Hadi 2008 ni nchi 66 zilizokubali madaraka ya mahakama kwa kila kesi itakayotokea kati ya nchi na nchi. Kesi inayohusu nchi nyingine inafunguliwa kama nchi hizi zinakubali mamlaka ya mahakama hii. Nchi zinaweza kukubali madaraka ya mahakama zikiweka maswali maalumu kando. Kwa mfano Ujerumani ilikubali mamlaka ya mahakama isipokuwa kwa kesi zinazohusu mambo ya kijeshi.

Nchi mbalimbali ziliwahi kukataa maazimio katika kesi zilizoanzishwa tayari:

Menginevyo nchi zilizowahi kukubali ziliendelea kuitikia hukumu.

Muundo

Mahakama ina majaji 15 wa kudumu wanaochaguliwa na Mkutano Mkuu wa UM na Baraza la Usalama la UM kwa pamoja kwa muda wa miaka 9. Theluthi moja ya majaji inachaguliwa kila baada ya miaka mitatu. Nchi wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama huwa na jaji mle kila wakati ni China, Marekani, Ufaransa, Ufalme wa Muungano (Uingereza) na Urusi. Nafasi nyingine huzunguka kati ya nchi wanachama wa UM.

Inawezekana kumwongeza jaji kwa kesi maalumu kama nchi ambayo kesi yake inasikilizwa haina jaji katika mahakama inawezekana kumwongeza jaji anayependekezwa a nchi ile.

Majaji mwaka 2007

Mwaka 2007 watu wafuatao walikuwa majaji wa kudumu wa mahakama kuu ya kimataifa:

Jina Nchi Nafasi Alichaguliwa Mwisho wa kipindi chake
Rosalyn Higgins Ufalme wa Muungano Jaji menyekiti 1995, 2000 2009
Awn Shawkat Al-Khasawneh Jordani Jaji makamu wa mwenyekiti 2000 2009
Raymond Ranjeva Madagaska Jaji 1991, 2000 2009
Shi Jiuyong China Jaji 1994, 2003 2012
Abdul G. Koroma Sierra Leone Jaji 1994, 2003 2012
Gonzalo Parra Aranguren Venezuela Jaji 1996, 2000 2009
Thomas Buergenthal Marekani Jaji 2000, 2006 2015
Hisashi Owada Japan Jaji 2003 2012
Bruno Simma Ujerumani Jaji 2003 2012
Peter Tomka Slovakia Jaji 2003 2012
Ronny Abraham Ufaransa Jaji 2005 2014
Sir Kenneth Keith New Zealand Jaji 2006 2015
Bernardo Sepúlveda Amor Mexico Jaji 2006 2015
Mohamed Bennouna Moroko Jaji 2006 2015
Leonid Skotnikov Urusi Jaji 2006 2015


Viungo vya Nje

mahakama