Yohannes III : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza sr:Јоханес III
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 8 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q611063 (translate me)
Mstari 7: Mstari 7:
[[Jamii:Waliozaliwa 1797]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1797]]
[[Jamii:Wafalme wa Ethiopia]]
[[Jamii:Wafalme wa Ethiopia]]

[[de:Johannes III. (Äthiopien)]]
[[en:Yohannes III]]
[[fr:Yohannes III d'Éthiopie]]
[[he:יוהנס השלישי, קיסר אתיופיה]]
[[hr:Ivan III. Etiopski]]
[[pl:Jan III (cesarz Etiopii)]]
[[sh:Johanes III Etiopski]]
[[sr:Јоханес III]]

Pitio la 09:08, 9 Machi 2013

Yohannes III (amezaliwa takriban 1797) alikuwa mfalme wa Ethiopia. Kati ya 1840 na 1851, Yohannes III na binamu yake, Sahle Dengel, waliondoshana madarakani na kurudishiwa utawala mara kwa mara. Aliyemaliza fitina hiyo na kuwafuata ni Tewodros II. Yohannes III alikuwa mwana wa mwisho wa nasaba ya Solomoni. Haijulikani kama amefariki mwaka wa 1851, Tewodros II alipoanza utawala, au akiendelea kuishi hadi miaka ya 1870.

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Uhabeshi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Yohannes III kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.