Machakos : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza fa:ماچاکوس، کنیا
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 23 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q693093 (translate me)
Mstari 39: Mstari 39:
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Miji ya Kenya]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki, Kenya]]
[[Jamii:Mkoa wa Mashariki, Kenya]]

[[ca:Machakos]]
[[da:Machakos]]
[[de:Machakos]]
[[en:Machakos]]
[[eo:Machakos]]
[[es:Machakos]]
[[fa:ماچاکوس، کنیا]]
[[fr:Machakos]]
[[hr:Machakos]]
[[ka:მაჩაკოსი]]
[[kl:Machakos]]
[[ko:마차코스]]
[[mi:Machakos]]
[[nl:Machakos (stad)]]
[[no:Machakos]]
[[pl:Machakos]]
[[ro:Machakos]]
[[ru:Мачакос]]
[[sr:Махакос]]
[[sv:Machakos]]
[[vec:Machakos]]
[[war:Machakos]]
[[zh:马查科斯]]

Pitio la 02:33, 9 Machi 2013


Machakos
Machakos is located in Kenya
Machakos
Machakos

Mahali pa mji wa Machakos katika Kenya

Majiranukta: 1°31′0″S 37°16′0″E / 1.51667°S 37.26667°E / -1.51667; 37.26667
Nchi Kenya
Mkoa Mashariki
Wilaya Machakos
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 144,109

Machakos ni mji wa Kenya katika Ukambani takriban kilomita 64 upande wa kusini-mashariki wa Nairobi. Ni makao makuu ya Wilaya ya Machakos na mji mkubwa wa Mkoa wa Mashariki.

Machakos imekua haraka kwa sababu ni karibu na mji mkuu wa taifa imeshapita idadi ya wakazi lakhi na nusu. Wenyeji wa Machakos ni hasa Wakamba.

Historia

Machakos ni kati ya miji ya kwanza ya Kenya bara ikaundwa mwaka 1899 wa Waingereza na kuwa makao makuu ya koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kiingereza (mbali na eneo lindwa la pwani lililokodishwa na Usultani wa Zanzibar na Uingereza) kwa muda mfupi.

Jina la mji lilitokana na chifu Masaku wa Wakamba aliyewahi kuwa na boma lake hapo.

Baada ya azimio la kutounganisha Machakos na reli ya Uganda mji haukuendelea sana.

Mwaka 2002 majadiliano kati ya pande mbalimbali za vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Sudani yalifanyika Machakos.

Kituo kikuu cha mabasi mjini Nairobi huitwa na wenyeji "Machakos Airport".

Viungo vya Nje