Hermann Hesse : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: bn:হেরমান হেস, bs:Hermann Hesse |
d robot Adding: zh-min-nan:Hermann Hesse |
||
Mstari 74: | Mstari 74: | ||
[[vo:Hermann Hesse]] |
[[vo:Hermann Hesse]] |
||
[[zh:赫尔曼·黑塞]] |
[[zh:赫尔曼·黑塞]] |
||
[[zh-min-nan:Hermann Hesse]] |
Pitio la 06:10, 3 Novemba 2007
Hermann Hesse (2 Julai, 1877 – 9 Agosti, 1962) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Ujerumani. Baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia alihamia Uswisi. Hasa aliandika riwaya. Mwaka wa 1946 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |