Bukoba (mji) : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza lt:Bukoba
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 24 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q654259 (translate me)
Mstari 32: Mstari 32:
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Miji ya Tanzania]]
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]]
[[Jamii:Wilaya ya Bukoba Mjini]]

[[ar:بوكوبا]]
[[be:Горад Букоба]]
[[bg:Букоба]]
[[da:Bukoba]]
[[de:Bukoba]]
[[en:Bukoba]]
[[eo:Bukobo]]
[[et:Bukoba]]
[[fa:بوکوبا]]
[[fi:Bukoba]]
[[fr:Bukoba]]
[[hr:Bukoba]]
[[is:Bukoba]]
[[ja:ブコバ]]
[[ko:부코바]]
[[lt:Bukoba]]
[[nl:Bukoba]]
[[pl:Bukoba]]
[[ro:Bukoba]]
[[ru:Букоба]]
[[sv:Bukoba]]
[[tr:Bukoba]]
[[yo:Bukoba]]
[[zh:布科巴]]

Pitio la 20:00, 8 Machi 2013


Bukoba
Bukoba is located in Tanzania
Bukoba
Bukoba

Mahali pa mji wa Bukoba katika Tanzania

Majiranukta: 1°19′12″S 31°48′0″E / 1.32000°S 31.80000°E / -1.32000; 31.80000
Nchi Tanzania
Mkoa Kagera
Wilaya Bukoba Mjini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 80,000

Bukoba ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Eneo la mji ni wilaya ya Bukoba mjini. Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 81,221. [1]

Bukoba iko kando la Ziwa Viktoria Nyanza upande wa magharibi. Mji ulianzishwa kuanzia 1890 wakati Wajerumani waliteua sehemu hii kwa boma la jeshi lao la kikoloni na kuifanya makao makuu ya mkoa.

Marejeo

Kata za Wilaya ya Bukoba Mjini - Mkoa wa Kagera - Tanzania

Bakoba | Bilele | Buhembe | Hamugembe | Ijuganyondo | Kagondo | Kahororo | Kashai | Kibeta | Kitendaguro | Miembeni | Nshambya | Nyanga | Rwamishenye


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Kagera bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bukoba (mji) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.