Abihu : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza be-x-old:Надаб
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 10 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q321166 (translate me)
 
Mstari 6: Mstari 6:


[[Category:Watu wa Biblia]]
[[Category:Watu wa Biblia]]

[[be:Абігу]]
[[be-x-old:Надаб]]
[[de:Abihu]]
[[en:Nadab and Abihu]]
[[fr:Abihu]]
[[he:נדב ואביהוא]]
[[id:Nadab dan Abihu]]
[[nl:Nadab en Abihu]]
[[pl:Abihu]]
[[pt:Abiú]]

Toleo la sasa la 16:07, 8 Machi 2013

Abihu alikuwa mwana wa kuhani mkuu Aroni ambaye pamoja na kaka yake Nadabu alifanya kosa mbele ya Mungu na kuteketezwa na moto katika jangwa la Sinai.

Ametajwa katika Biblia ya Kiebrania, ambayo ni sehemu ya Biblia ya Kikristo (Agano la Kale), katika kitabu cha Walawi, kwa mfano sura ya 10 kuanzia mstari wa 1.

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Abihu kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.