Waraka wa kwanza kwa Timotheo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imebadilisha: yo:Episteli Kìnní sí Timotéù |
d Roboti: Imeondoa: ml:അജപാലകർക്കുള്ള ലേഖനങ്ങൾ (strongly connected to sw:Nyaraka za Kichungaji) |
||
Mstari 45: | Mstari 45: | ||
[[lt:Pirmasis laiškas Timotiejui]] |
[[lt:Pirmasis laiškas Timotiejui]] |
||
[[mk:Прво послание до Тимотеј]] |
[[mk:Прво послание до Тимотеј]] |
||
[[ml:അജപാലകർക്കുള്ള ലേഖനങ്ങൾ]] |
|||
[[nl:Eerste brief van Paulus aan Timoteüs]] |
[[nl:Eerste brief van Paulus aan Timoteüs]] |
||
[[no:Paulus' første brev til Timoteus]] |
[[no:Paulus' første brev til Timoteus]] |
Pitio la 03:51, 8 Machi 2013
Barua ya kwanza kwa Timotheo ni kimojawapo kati ya vitabu 27 vya Agano Jipya katika Biblia ya Ukristo.
Pamoja na ile ya pili aliyomuandikia na ile kwa Tito inaunda kundi la Nyaraka za Kichungaji.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Mazingira
Barua hii iliandikwa na Mtume Paulo baada ya kifungo chake cha kwanza mjini Roma labda akiwa Makedonia ili kumpa mwanafunzi wake mpenzi mashauri na maelekezo kwa kazi yake aliyomshirikisha.
Kiungo cha nje
- [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili