Bou Regreg : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2+) (Roboti: Imebadilisha: ru:Уэд-бу-Регрег
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 17 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q894940 (translate me)
 
Mstari 21: Mstari 21:


[[Jamii:Mito ya Moroko]]
[[Jamii:Mito ya Moroko]]

[[ar:أبو رقراق]]
[[be:Рака Бу-Рэгрэг]]
[[be-x-old:Бу-Рэгрэг]]
[[ca:Bu Regreg]]
[[de:Bou-Regreg]]
[[en:Bou Regreg]]
[[es:Río Bu Regreg]]
[[fa:ابی رقراق]]
[[fr:Bouregreg]]
[[fy:Bou Regrech]]
[[lt:Bu-Regregas]]
[[nl:Bouregreg]]
[[pl:Wadi Bu Rakrak]]
[[pt:Rio Bu Regregue]]
[[ru:Уэд-бу-Регрег]]
[[uk:Бу-Регрег]]
[[zh:布賴格賴格河]]

Toleo la sasa la 02:41, 8 Machi 2013

Mto wa Bou Regreg
Bou Regreg karibu na bahari
Chanzo Jebel Mtourzgane kwenye Milima ya Atlas
Mdomo Atlantiki kwa miji ya Rabat na Sale
Nchi Moroko
Urefu 240 km
Kimo cha chanzo 1627 m
Mkondo kawaida 23 m³/s, hadi 1500 m³/s kutegemeana na majira na kiasi cha mvua njiani
Eneo la beseni 10,000 km²

Bouregreg (Kiarabu أبورقراق ou abou rāqrāq) ni mto wa Moroko mwenye urefu wa 240 km. Chanzo chake ni katika milima ya Atlas karibu na mlima wa Jebel Mtourzgane kwenye kimo cha 1627 m juu ya UB. Mdomo uko kati ya mji ya Rabat na Sale. Pande zote mbili za mdomo wa mto palikuwa eneo la Jamhuri ya Bou Regreg iliyojumlisha mjiji ya Rabat na Sale.

Bouregreg ni kati ya mito mikubwa wa Moroko.