Jumuiya ya Madola : Tofauti kati ya masahihisho
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha arz:كومونويلث الامم hadi arz:دول الكومنولث |
d Bot: Migrating 99 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7785 (translate me) |
||
Mstari 366: | Mstari 366: | ||
[[Jamii:Mashirika ya kimataifa]] |
[[Jamii:Mashirika ya kimataifa]] |
||
[[af:Britse Statebond]] |
|||
[[als:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[an:Mancomunidat Britanica de Nacions]] |
|||
[[ang:Þēodacynewīse]] |
|||
[[ar:دول الكومنولث]] |
|||
[[arz:دول الكومنولث]] |
[[arz:دول الكومنولث]] |
||
[[ast:Mancomunidá de Naciones]] |
|||
[[az:Millətlər Birliyi]] |
|||
[[bar:Commonwealth]] |
|||
[[bat-smg:Tautū Sandrauga]] |
|||
[[be:Садружнасць нацый]] |
|||
[[be-x-old:Садружнасьць нацыяў]] |
|||
[[bg:Общност на нациите]] |
|||
[[bn:কমনওয়েলথ অফ নেশনস]] |
|||
[[br:Kenglad ar Broadoù]] |
|||
[[bs:Commonwealth nacija]] |
|||
[[ca:Commonwealth]] |
|||
[[cs:Commonwealth]] |
|||
[[cy:Y Gymanwlad]] |
|||
[[da:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[de:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[el:Κοινοπολιτεία των Εθνών]] |
|||
[[en:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[eo:Komunumo de Nacioj]] |
|||
[[es:Mancomunidad de Naciones]] |
|||
[[et:Rahvaste Ühendus]] |
|||
[[eu:Commonwealth]] |
|||
[[fa:اتحادیه کشورهای همسود]] |
|||
[[fi:Kansainyhteisö]] |
|||
[[fiu-vro:Rahvidõ Ütisüs]] |
|||
[[fo:Bretska Samveldið]] |
|||
[[fr:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[fy:Britsk Steatebûn]] |
|||
[[gag:İngiliz Milletler Topluluu]] |
|||
[[gl:Commonwealth de Nacións]] |
|||
[[he:חבר העמים הבריטי]] |
|||
[[hi:राष्ट्रकुल]] |
|||
[[hif:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[hr:Britanska zajednica naroda]] |
|||
[[hu:Nemzetközösség]] |
|||
[[hy:Ազգերի Համագործակցություն]] |
|||
[[id:Negara-Negara Persemakmuran]] |
|||
[[is:Breska samveldið]] |
|||
[[it:Commonwealth delle nazioni]] |
|||
[[ja:イギリス連邦]] |
|||
[[ka:ერთა თანამეგობრობა]] |
|||
[[kk:Британ достастығы]] |
|||
[[kn:ಕಾಮನ್ವೆಲ್ತ್ ರಾಷ್ಟ್ರಗಳು]] |
|||
[[ko:영국 연방]] |
|||
[[krc:Миллетлени биригиую]] |
|||
[[la:Consortio Populorum]] |
|||
[[lb:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[lij:Commonwealth de naçioin]] |
|||
[[lt:Tautų Sandrauga]] |
|||
[[lv:Nāciju Sadraudzība]] |
|||
[[mk:Комонвелт на нации]] |
|||
[[ml:കോമൺവെൽത്ത് രാജ്യങ്ങൾ]] |
|||
[[mn:Үндэстнүүдийн Хамтын Нөхөрлөл]] |
|||
[[mr:राष्ट्रकुल परिषद]] |
|||
[[ms:Negara-Negara Komanwel]] |
|||
[[my:ဓနသဟာယနိုင်ငံများအဖွဲ့]] |
|||
[[new:राष्ट्रतेगु कमनवेल्थ]] |
|||
[[nl:Gemenebest van Naties]] |
|||
[[nn:Det britiske samveldet]] |
|||
[[no:Samveldet av nasjoner]] |
|||
[[nso:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[oc:Commonwealth]] |
|||
[[pl:Wspólnota Narodów]] |
|||
[[pnb:کامنویلتھ آف نیشنز]] |
|||
[[pt:Commonwealth]] |
|||
[[ro:Comunitatea Națiunilor]] |
|||
[[ru:Содружество наций]] |
|||
[[rue:Сполоченство Націй]] |
|||
[[scn:Commonwealth]] |
|||
[[sco:Commonweel o Nations]] |
|||
[[sh:Komonvelt nacija]] |
|||
[[si:පොදු රාජ්ය මණ්ඩලය]] |
|||
[[simple:Commonwealth of Nations]] |
|||
[[sk:Spoločenstvo národov]] |
|||
[[sl:Skupnost narodov]] |
|||
[[so:Dalalka Kommonwels]] |
|||
[[sq:Komonuelthi]] |
|||
[[sr:Комонвелт]] |
|||
[[sv:Samväldet]] |
|||
[[ta:பொதுநலவாய நாடுகள்]] |
|||
[[th:เครือจักรภพแห่งประชาชาติ]] |
|||
[[tl:Kapamansaan ng mga Bansa]] |
[[tl:Kapamansaan ng mga Bansa]] |
||
[[tr:İngiliz Milletler Topluluğu]] |
|||
[[tt:Милләтләр Дуслыгы]] |
|||
[[uk:Співдружність націй]] |
|||
[[ur:دولت مشترکہ ممالک]] |
|||
[[vi:Khối Thịnh vượng chung Anh]] |
|||
[[vls:Gemênebest]] |
|||
[[war:Komonwelt han mga Nasod]] |
|||
[[xmf:ერეფიშ წორომაჸალობა]] |
|||
[[yi:קאמאנוועלט]] |
|||
[[yo:Àjọni àwọn Orílẹ̀-èdè]] |
|||
[[za:Yinghlenzbangh]] |
|||
[[zh:英联邦]] |
|||
[[zh-min-nan:Kok-ka Cho͘-ha̍p]] |
|||
[[zh-yue:英聯邦]] |
Pitio la 19:05, 7 Machi 2013
Lugha rasmi | Kiingereza |
Katibu Mkuu | Don McKinnon (tangu 1999) |
Chanzo chake | mw. 1926 kama jumuiya ya "Kibritania", tangu 1949 kama Jumuiya ya Madola ya kisasa |
Madola wanachama | 53 |
Makao Makuu | Westminster, London |
Mtandao | thecommonwealth.org |
Jumuiya ya Madola (jina la Kiingereza ni Commonwealth of Nations) inaunganisha nchi mbalimbali hasa Uingereza na nchi zilizokuwa koloni zake.
Umoja huu umeanzishwa mw. 1926 kama "Jumuiya ya Kibritania" (British Commonwealth) na kupewa jina lake la sasa tangu 1949. Inafuatana na Dola la Kibritania au Dola la Kiingereza ambayo ilikuwa dola kubwa kabisa katika historia ya dunia lakini maeneo yake yalianza kuachana baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia kutokana na kudhoofishwa kwa Uingereza vitani na miendo ya kupigania uhuru katika nchi mbalimbali hasa Uhindi.
Leo zipatao asilimia 30 ya watu wote duniani (watu 1,800,000) huishi katika nchi wanachama za Jumuiya ya Madola. Nchi za jumuiya hii wenye wakazi wengi ni hasa Uhindi, Pakistan, Bangladesh na Nigeria. Kuna pia nchi ndogo sana kama Tuvalu yenye wakazi 11,000 pekee.
Nchi kadhaa zilisimamishwa uanachama au kuondoka kwa hiari zao. Mfano Tanganyika na Zanzibar ziliungana kwa hiyo hazipo tena lakini mpya ya Tanzania imekuwa nchi mwanachama. Vilevile Newfoundland iliondoka katika jumuiya baada ya kujiunga na Kanada kama jimbo.
Pakistan ilisimamishwa uanachama mara kadhaa kwa sababu serikali yake ilipinduliwa na wanajeshi walioanzisha serikali ya kijeshi. Imerudishwa tena.
Zimbabwe ilisimamishwa uanachama baada ya uchaguzi bandia 2002 ikaamua kujiondoa kabisa mwaka 2003.
Jamhuri ya Ueire iliamua mwaka 1949 kuacha viungo vyote na Uingereza ikajitangaza kuwa jamhuri isiyokubali athira ya nje kama hali ya malkia wa Uingereza kuwa mkuuw a dola hivyo ikaondoka katika jumuiya.
Afrika Kusini ilijiondoa 1961 kwa sababu ya upinzani wa jumuiya dhidi ya sheria za apartheid. Baada mwisho wa ubaguzi wa rangi nchi ilirudi katika jumuiya.
Fiji imesimamishwa mara kadhaa baada ya uasi wa kijeshi uliopindua serikali. Kwa sasa ni nchi ya pekee iliyosimamishwa uanachama.
Nchi wanachama za Jumuiya ya Madola
Ilijiunga | Nchi | Bara | Wakazi |
---|---|---|---|
1981 | Antigua na Barbuda | Amerika ya Kati | 81,000 |
1931 | Australia | Oceania | 20,555,300 |
1973 | Bahamas | Amerika ya Kati | 323,000 |
1972 | Bangladesh | Asia | 148,384,000 |
1966 | Barbados | Amerika ya Kati | 279,000 |
1981 | Belize | Amerika ya Kati | 287,730 |
1966 | Botswana | Afrika | 1,765,000 |
1984 | Brunei | Asia | 374,000 |
1995 | Kamerun | Afrika | 16,322,000 |
1931 | Kanada | Amerika ya Kaskazini | 32,654,500 |
1961 | Kipro | Ulaya | 818,200 |
1978 | Dominika | Amerika ya Kati | 79,000 |
1965 | Gambia | Afrika | 1,517,000 |
1957 | Ghana | Afrika | 22,113,000 |
1974 | Grenada | Amerika ya Kati | 103,000 |
1966 | Guyana | South America | 751,000 |
1947 | India | Asia | 1,100,000,000 |
1962 | Jamaika | Amerika ya Kati | 2,651,000 |
1963 | Kenya | Afrika | 34,256,000 |
1979 | Kiribati | Oceania | 99,000 |
1966 | Lesotho | Afrika | 1,795,000 |
1964 | Malawi | Afrika | 12,884,000 |
1957 | Malaysia | Asia | 27,356,000 |
1982 | Maldivi | Asia | 329,000 |
1964 | Malta | Ulaya | 402,668 |
1968 | Morisi | Afrika | 1,245,000 |
1995 | Msumbiji | Afrika | 19,792,000 |
1990 | Namibia | Afrika | 2,031,000 |
1968 | Nauru | Oceania | 14,000 |
1931 | New Zealand | Oceania | 4,147,972 |
1960 | Nigeria | Afrika | 132,796,000 |
1947 | Pakistan | Asia | 158,352,000 |
1975 | Papua Guinea Mpya | Oceania | 5,887,000 |
1983 | Saint Kitts na Nevis | Amerika ya Kati | 43,000 |
1979 | Saint Lucia | Amerika ya Kati | 161,000 |
1979 | Saint Vincent na Grenadini | Amerika ya Kati | 119,000 |
1970 | Samoa | Oceania | 185,000 |
1976 | Shelisheli | Afrika | 81,000 |
1961 | Sierra Leone | Afrika | 5,525,000 |
1965 | Singapur | Asia | 4,326,000 |
1978 | Solomon Islands | Oceania | 478,000 |
1931 | Afrika Kusini | Afrika | 47,423,000 |
1948 | Sri Lanka | Asia | 20,743,000 |
1968 | Uswazi | Afrika | 1,032,000 |
1964 | Tanzania | Afrika | 38,329,000 |
1970 | Tonga | Oceania | 102,000 |
1962 | Trinidad na Tobago | Amerika ya Kati | 1,305,000 |
1978 | Tuvalu | Oceania | 10,000 |
1962 | Uganda | Afrika | 28,816,000 |
1931 | Ufalme wa Maungano (Uingereza) | Ulaya | 60,209,500 |
1980 | Vanuatu | Oceania | 211,000 |
1964 | Zambia | Afrika | 11,668,000 |
Nchi zilizosimamishwa uanachama
Ilijiunga | Nchi | Bara | Wakazi |
---|---|---|---|
1970 | Fiji | Oceania | 848,000 |
iliondoka 1987; ikajiunga tena 1997; ikasimamishwa 2000; ikakubaliwa tena 2001; ikasimamishwa tena kwa sababu ya mapinduzi ya kijeshi ya 2006.
Nchi wanachama za zamani zilizoondoka
Ilijiunga | Nchi | Bara | Wakazi |
---|---|---|---|
1931 | Ueire | Ulaya | 1949 |
1931 | Newfoundland | Amerika ya Kaskazini | 1949 |
1961 | Tanganyika | Afrika | 1964 |
1963 | Zanzibar | Afrika | 1964 |
1980 | Zimbabwe | Afrika | 2003 |