Jimbo la Zürich : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d Minor fix using AWB
d r2.6.5) (Roboti: Imeongeza sh:Zürich (kanton)
Mstari 77: Mstari 77:
[[ru:Цюрих (кантон)]]
[[ru:Цюрих (кантон)]]
[[scn:Canton Zurìcu]]
[[scn:Canton Zurìcu]]
[[sh:Zürich (kanton)]]
[[simple:Zürich (canton)]]
[[simple:Zürich (canton)]]
[[sk:Zürich (kantón)]]
[[sk:Zürich (kantón)]]

Pitio la 01:29, 6 Machi 2013

Mahali pa jimbo la Zürich katika Uswisi

Jimbo la Zürich (Kijerumani: Kanton Zürich) ni jimbo liliopo nchini Uswisi. Jimbo lina wakazi takriban milioni 1.3 (kwa sensa ya mwaka wa 2007).[1] Jimbo lipo upande wa kaskazini-mashariki mwa Uswisi na mji mkuu wake ni Zürich. Lugha rasmi ya jimboni hapa ni Kijerumani, lakini watu waioshio hapa huzungumza lahaja ya lugha ya kienyeji ya Kiswisi Kijerumani iitwayo Züritüütsch.

Tazama pia

Marejeo

  1. Federal Department of Statistics (2008). "Ständige Wohnbevölkerung nach Staatsangehörigkeit, Geschlecht und Kantonen" (Microsoft Excel). Iliwekwa mnamo 5 Novemba 2008. 

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswisi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jimbo la Zürich kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.