Shirika la Afya Duniani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha la:Consociatio Mundialis Sanitatis hadi la:Ordo mundi sanitarius |
d r2.6.5) (Roboti: Imeongeza ka:ჯანდაცვის მსოფლიო ორგანიზაცია |
||
Mstari 71: | Mstari 71: | ||
[[ja:世界保健機関]] |
[[ja:世界保健機関]] |
||
[[jv:WHO]] |
[[jv:WHO]] |
||
[[ka:ჯანდაცვის მსოფლიო ორგანიზაცია]] |
|||
[[ki:WHO]] |
[[ki:WHO]] |
||
[[kk:Дүниежүзілік денсаулық сақтау ұйымы]] |
[[kk:Дүниежүзілік денсаулық сақтау ұйымы]] |
Pitio la 21:38, 4 Machi 2013
Shirika la Afya Duniani (Kiing. World Health Organization - WHO) ni kitengo cha Umoja wa Mataifa. Inashughulika habari za afya ya umma ikilenga kuunganisha juhudi za kitaifa za kupambana na magonjwa na kujenga afya.
Kisheria WHO ni shirika lenye madola wanachama 193.
Kati ya shughuli muhimu za WHO ni progframu za kupambana na magonjwa yanayoathiri watu wengi kama vile Malaria, Ukimwi au SARS.
WHO inaratibu mipango ya kutengeneza na kusambaza madawa ya kinga. Inaratibu pia miradi ya chanjo za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali.
Makao makuu ya WHO yapo Geneva (Uswisi). Kuna ofisi sita za kikanda kama zifuatazo:
- Brazzaville (kanda la Afrika)
- Washington D.C. (kanda la Amerika)
- New Delhi (Rkanda la Asia ya Kusini Mashariki)
- Kopenhagen (kanda la Ulaya)
- Kairo (kanda la Mediteranea ya mashariki)
- Manila (landa la Pasifiki ya magharibi)