Visiwa vya Mariana : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza da:Marianerne
d r2.6.5) (Roboti: Imeongeza fa:جزایر ماریانا
Mstari 30: Mstari 30:
[[et:Mariaanid]]
[[et:Mariaanid]]
[[eu:Marianak]]
[[eu:Marianak]]
[[fa:جزایر ماریانا]]
[[fi:Mariaanit]]
[[fi:Mariaanit]]
[[fr:Îles Mariannes]]
[[fr:Îles Mariannes]]

Pitio la 04:26, 4 Machi 2013

Visiwa vya Mariana ni funguvisiwa ya Pasifiki ya magharibi takriban katikati ya Papua Guinea Mpya na Japani. Vyahesabiwa kati ya visiwa vya Melanesia.

Kwa jumla ni safu ya visiwa 15 vyenye asili ya kivolkeno kati ya 12 hadi 21N na mnamo 145E.

Vyote ni maeneo ya ng'ambo ya Marekani inayotawala funguvisiwa kama vitengo viwili vya pekee:

  • Guam ambayo ni kisiwa kikubwa pekee ambacho ni kituo cha kijeshi cha Marekani.