Waraka wa Yakobo : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza da:Jakobs Brev
Mstari 29: Mstari 29:
[[cs:List Jakubův]]
[[cs:List Jakubův]]
[[cy:Llythyr Iago]]
[[cy:Llythyr Iago]]
[[da:Jakobs Brev]]
[[de:Brief des Jakobus]]
[[de:Brief des Jakobus]]
[[en:Epistle of James]]
[[en:Epistle of James]]

Pitio la 23:55, 3 Machi 2013

Agano Jipya


Barua ya Yakobo ni kati ya vitabu 27 vinavyounda Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.

Mazingira

Kitabu hiki labda kiliandikwa miaka ya 80 B.K. kikitumia jina la Yakobo, lakini wataalamu hawapatani kuhusu huyo ni nani, aliandika wapi na lini.

Kwa hakika walengwa wa kitabu ni Wakristo wa Kiyahudi wenzake, lakini si barua halisi, bali ni mchanganyiko wa mawaidha yanayofuata mtindo wa vitabu vya hekima.

Lengo lake ni kuhakikisha Ukristo usiishie katika mawazo mazuri, bali imani ijitokeze katika matendo mema.

Lengo lingine ni kuwakuza mafukara na kuwakemea matajiri, kadiri ya mwelekeo wa Kanisa la Yerusalemu (Yak 1:1-2:26; 4:1-5:6).


Kiungo cha nje

  • [1] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili