Ufalme wa Bizanti : Tofauti kati ya masahihisho
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha ckb:ئیمپڕاتۆرێتیی بێزەنتی hadi ckb:ئیمپراتۆریی بیزانس |
d r2.7.2+) (Boti: Inarbadilisha tr:Doğu Roma İmparatorluğu hadi tr:Bizans İmparatorluğu |
||
Mstari 132: | Mstari 132: | ||
[[tk:Wizantiýa imperiýasy]] |
[[tk:Wizantiýa imperiýasy]] |
||
[[tl:Silangang Imperyong Romano]] |
[[tl:Silangang Imperyong Romano]] |
||
[[tr: |
[[tr:Bizans İmparatorluğu]] |
||
[[tt:Византия империясе]] |
[[tt:Византия империясе]] |
||
[[uk:Візантійська імперія]] |
[[uk:Візантійська імперія]] |
Pitio la 08:14, 3 Machi 2013
Ufalme wa Byzantini (Kigiriki: Βυζαντινή Αυτοκρατορία) ni neno linalotumika kutaja Dola la Roma lilivyoendelea katika mashariki ya eneo la Mediteranea katika Zama za Kati, ukiwa na makao yake makuu kwenye mji wa Konstantinopoli ulioitwa pia Bizanti na kutumia lugha ya Kigiriki.
Katika baadhi ya maana, hasa kuhususiana na wakati baada ya kuanguka kwa Dola la Roma katika magharibi na mjini Roma penyewe hujulikana pia kama Dola la Roma Mashariki.
Wabizanti wenyewe walijiona ni bado Dola la Roma wakiendelea tu. Watawala walitumia cheo cha "Kaisari" kama awali.
Hata hivyo, kwa wakati mwingi wa historia yake, ulifahamika na wenzao wa Ulaya magharibi kama “Ufalme wa Wagiriki” au “Ufalme wa Konstatinopoli” au "Rhômania".
Lakini majirani wa mashariki kama Waarabu waliendela kuwaita "Waroma" (kar. روم rum).
Bizanti ilipata mapigo mawili makubwa katika historia yake:
- Uvamizi wa Waarabu Waislamu kuanzia mwaka 636 uliosababisha kupotea kwa majimbo ya Afrika ya Kaskazini, Misri na Shamu
- Uvamizi wa jeshi la Wamisalaba walioteka mji wa Konstantinopoli mwaka 1204
Shambulio hili lilisababisha nguvu za ufalme kufifia kabisa. Hata baada ya kurudi Konstantinopoli watawala wa Bizanti walikosa nguvu ya kujitetea kwa nguvu dhidi ya Waturuki Waosmani walioteka Konstantinopoli mwaka 1453 na kumaliza kabisa Bizanti uliotunza urithi wa Roma ya kale hadi wakati ule.
Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA