Jimbo Katoliki la Bukoba : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza zh:天主教布克巴教區
Mstari 39: Mstari 39:
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2045%20%5B1953%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Quemadmodum ad Nos''], AAS 45 (1953), uk. 705
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2045%20%5B1953%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Quemadmodum ad Nos''], AAS 45 (1953), uk. 705
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2052%20%5B1960%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Eminentissimus''], AAS 52 (1960), uk. 912
* [http://www.vatican.va/archive/aas/documents/AAS%2052%20%5B1960%5D%20-%20ocr.pdf Hati ''Eminentissimus''], AAS 52 (1960), uk. 912

[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Bukoba]]


[[de:Bistum Bukoba]]
[[de:Bistum Bukoba]]
[[en:Roman Catholic Diocese of Bukoba]]
[[en:Roman Catholic Diocese of Bukoba]]
[[it:Diocesi di Bukoba]]
[[it:Diocesi di Bukoba]]
[[zh:天主教布克巴教區]]

[[Category:Kanisa Katoliki Tanzania|Bukoba]]

Pitio la 05:50, 3 Machi 2013

Jimbo Katoliki la Bukoba (kwa Kilatini Dioecesis Bukobaënsis) ni mojawapo kati ya majimbo 33 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.

Kikanisa linahusiana na Jimbo Kuu la Mwanza.

Askofu wake ni Nestorius Timanywa, akishirikiana na askofu msaidizi Method Kilaini.

Historia

Uongozi

Takwimu

Eneo ni la kilometa mraba 8,608, ambapo kati ya wakazi 870,048 (2006) Wakatoliki ni 521,256 (59.9%) katika parokia 29.

Hao wanahudumiwa na mapadri 119, ambao kati yao 113 ni wanajimbo na 6 ni watawa. Hivyo kila mmojawao kwa wastani anahudumia waamini 4,380.

Jimbo lina pia mabruda 11 na masista 512.

Viungo vya nje