Fernando Sancho : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Fernando Sancho |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 17:22, 1 Novemba 2007
Fernando Sancho (Alizaliwa tar. 7 January ya mwaka wa 1916, akafariki dunia tar. 31 Julai ya mwaka wa 1990) alikuwa muigizaji wa filamu kutoka nchini Hispania. Sancho alizaliwa mjini Zaragoza, Aragón, Hispania, akaja kuiaga dunia mjini Madrid baada ya kufanyiwa upasuaji. Fernando pia aliwahi kuonekana katika filamu za western, ambazo nyingi zilitaarishwa na mataarishaji Ignacio F. Iquino, vile vile kuna kipindi huonekana katika filamu alizocheza nyota Richard Harrison.
Viungo vya Nje
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |