Mkoa wa Ağrı : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza gl:Provincia de Ağrı |
d r2.7.3) (Boti: Inarbadilisha ms:Provinsi Ağrı hadi ms:Wilayah Ağrı |
||
Mstari 74: | Mstari 74: | ||
[[mk:Агр (покраина)]] |
[[mk:Агр (покраина)]] |
||
[[mrj:Агры (ил)]] |
[[mrj:Агры (ил)]] |
||
[[ms: |
[[ms:Wilayah Ağrı]] |
||
[[nl:Ağrı (provincie)]] |
[[nl:Ağrı (provincie)]] |
||
[[nn:Provinsen Ağrı]] |
[[nn:Provinsen Ağrı]] |
Pitio la 06:46, 20 Februari 2013
- Kwa makala ya mji mkuu wa mkoa huu, tafadhali fungua Ağrı.
Mkoa wa Ağrı | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Ağrı nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Anatolia ya Mashariki |
Eneo: | 11,376 (km²) |
Kodi ya Leseni: | 04 |
Kodi ya eneo: | 0{{{kodi_ya_eneo}}} |
Tovuti ya Gavana | http://www.ağrı.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/ağrı |
Ağrı (Kiarmenia: Արարատի) ni jina la mkoa ulilopo mpakani-mashariki mwa nchi ya Uturuki. Umepakana na Iran kwa upande wa mashariki, Kars kwa upande wa kaskazini, Erzurum kwa upande wa kaskazini-magharibi, Muş na Bitlis kwa upande wa kusini-magharibi, Van kwa upande wa kusini, na Iğdır kwa upande wa kaskazini-mashariki. Jimbo lina kilomita za mraba zipatazo 11,376. Takriban watu 571,243 wanaishi mkoani hapa (sensa ya mwaka wa 2006).
Wilaya zake
Ağrı imegawanyika katika wilaya kuu 8 (wilaya kuu imkoozeshwa):
Viungo vya Nje
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Ağrı kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |