1 Julai : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza kl:Juuli 1 |
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza zea:1 juli |
||
Mstari 166: | Mstari 166: | ||
[[yi:1טן יולי]] |
[[yi:1טן יולי]] |
||
[[yo:1 July]] |
[[yo:1 July]] |
||
[[zea:1 juli]] |
|||
[[zh:7月1日]] |
[[zh:7月1日]] |
||
[[zh-min-nan:7 goe̍h 1 ji̍t]] |
[[zh-min-nan:7 goe̍h 1 ji̍t]] |
Pitio la 07:18, 18 Februari 2013
Jun - Julai - Ago | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | 30 | 31 | ||||
Kalenda ya Gregori |
Matukio
- 1890 - Mkataba wa Helgoland-Zanzibar kati ya Ujerumani na Uingereza
- 1960 - Somalia ya Kusini inapata uhuru kutoka Italia.
- 1962 - Nchi za Burundi na Rwanda zinapata uhuru kutoka Ubelgiji.
Waliozaliwa
- 1646 - Gottfried Leibniz, mwanafalsafa wa Ujerumani
- 1876 - Susan Glaspell, mwandishi wa kike kutoka Marekani
- 1879 - Leon Jouhaux (kiongozi Mfaransa wa chama cha wafanyakazi, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1951)
- 1929 - Gerald Edelman (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1972)
- 1964 - Guillermo Martín Abanto Guzmán, askofu msaidizi Mkatoliki nchini Peru
Waliofariki
- 1971 - Lawrence Bragg (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1915)
- 2001 - Nikolai Basov (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1964)
- 2004 - Marlon Brando, mwigizaji filamu kutoka Marekani