Mitara : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza ko:복혼
Minor fix using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Toba chieftain 1892.jpg|thumb|right|300px|Kiongozi wa [[kabila]] la [[Toba (kabila)|Toba]] na wake zake, [[1892]].]]
[[Picha:Toba chieftain 1892.jpg|thumb|right|300px|Kiongozi wa [[kabila]] la [[Toba (kabila)|Toba]] na wake zake, [[1892]].]]
'''Mitara''' (au '''Upoli''' au '''Upali''') ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa.
'''Mitara''' (au '''Upoli''' au '''Upali''') ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa.


Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani [[Afrika]], ambapo [[mwanamume]] mmoja aliweza kuwa na [[wanawake]] zaidi ya mmoja, lakini kwa sasa inazidi kupungua.
Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani [[Afrika]], ambapo [[mwanamume]] mmoja aliweza kuwa na [[wanawake]] zaidi ya mmoja, lakini kwa sasa inazidi kupungua.
Mstari 8: Mstari 8:
Baadhi ya nchi zinakubali hali hiyo, lakini nyingi zinaikataza.
Baadhi ya nchi zinakubali hali hiyo, lakini nyingi zinaikataza.


Vilevile baadhi ya [[dini]] zinakubali mitara, hususan [[Uislamu]], lakini nyingine zinaikataza, hususan [[Ukristo]].
Vilevile baadhi ya [[dini]] zinakubali mitara, hususan [[Uislamu]], lakini nyingine zinaikataza, hususan [[Ukristo]].

Katika [[Biblia]] tunakuta maendeleo ya [[ufunuo]] kuhusu hali hiyo kati ya [[Agano la Kale]] na [[Agano Jipya]].


Katika [[Biblia]] tunakuta maendeleo ya [[ufunuo]] kuhusu hali hiyo kati ya [[Agano la Kale]] na [[Agano Jipya]].


== Marejeo ==
== Marejeo ==
* {{cite book |author= Cairncross, John |title= After Polygamy Was Made a Sin: The Social History of Christian Polygamy |location= London | publisher=Routledge & Kegan Paul |year= 1974 |url= http://www.patriarchpublishinghouse.com/3345.htm }}
* {{cite book |author= Cairncross, John |title= After Polygamy Was Made a Sin: The Social History of Christian Polygamy |location= London | publisher=Routledge & Kegan Paul |year= 1974 |url= http://www.patriarchpublishinghouse.com/3345.htm }}
* {{Cite book |author= Campbell, James |title= The History and Philosophy of Marriage |publisher= First published in Boston |year= 1869 |accessdate= August 5, 2005 }}
* {{Cite book |author= Campbell, James |title= The History and Philosophy of Marriage |publisher= First published in Boston |year= 1869 |accessdate= 5 Agosti 2005 }}
* {{cite book |author= Chapman, Samuel A. |title= Polygamy, Bigamy and Human Rights Law |publisher= Xlibris Corp |year= 2001 |isbn= 1-4010-1244-2 }}
* {{cite book |author= Chapman, Samuel A. |title= Polygamy, Bigamy and Human Rights Law |publisher= Xlibris Corp |year= 2001 |isbn= 1-4010-1244-2 }}
* {{cite book |author= Hillman, Eugene |title= Polygamy Reconsidered: African Plural Marriage and the Christian Churches |location= New York |publisher= Orbis Books |isbn= 0-88344-391-0 |year= 1975 }}
* {{cite book |author= Hillman, Eugene |title= Polygamy Reconsidered: African Plural Marriage and the Christian Churches |location= New York |publisher= Orbis Books |isbn= 0-88344-391-0 |year= 1975 }}
Mstari 32: Mstari 31:
* [http://www.life.com/image/first/in-gallery/49551/rare-life-with-polygamists-1944 LIFE With Polygamists, 1944] - slideshow by ''[[Life magazine]]''
* [http://www.life.com/image/first/in-gallery/49551/rare-life-with-polygamists-1944 LIFE With Polygamists, 1944] - slideshow by ''[[Life magazine]]''


{{mbegu}}
{{Mbegu}}


[[Jamii:Jinsia]]
[[Jamii:Jinsia]]

Pitio la 22:49, 15 Februari 2013

Kiongozi wa kabila la Toba na wake zake, 1892.

Mitara (au Upoli au Upali) ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa.

Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani Afrika, ambapo mwanamume mmoja aliweza kuwa na wanawake zaidi ya mmoja, lakini kwa sasa inazidi kupungua.

Ya nadra zaidi ni hali ya wanaume kadhaa kuchanga mwanamke mmoja.

Baadhi ya nchi zinakubali hali hiyo, lakini nyingi zinaikataza.

Vilevile baadhi ya dini zinakubali mitara, hususan Uislamu, lakini nyingine zinaikataza, hususan Ukristo.

Katika Biblia tunakuta maendeleo ya ufunuo kuhusu hali hiyo kati ya Agano la Kale na Agano Jipya.

Marejeo

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: