Tunisia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza ba:Тунис |
Minor fix using AWB |
||
Mstari 25: | Mstari 25: | ||
| [[Wakazi]] || 9.974.722 (Julai 2004) |
| [[Wakazi]] || 9.974.722 (Julai 2004) |
||
|---- |
|---- |
||
| [[Wakazi kwa km²]] || 60 |
| [[Wakazi kwa km²]] || 60 |
||
|---- |
|---- |
||
| [[Uhuru]] || [[20 Machi]] |
| [[Uhuru]] || [[20 Machi]] [[1956]] (kutoka [[Ufaransa]]) |
||
|---- |
|---- |
||
| [[Pesa]] || [[Dinari ya Tunisia]] |
| [[Pesa]] || [[Dinari ya Tunisia]] |
||
|---- |
|---- |
||
| [[Wakati]] || [[UTC]] +1 |
| [[Wakati]] || [[UTC]] +1 |
||
Mstari 46: | Mstari 46: | ||
'''Tunisia''' (Jamhuri ya Tunisia - الجمهرية التونسية) ni nchi ya [[Afrika]] ya Kaskazini inayopakana na [[Bahari ya Mediteranea]], [[Libya]] na [[Algeria]]. Mji mkuu ni [[Tunis]] iliyoko mahali pa [[Karthago]] ya kale. |
'''Tunisia''' (Jamhuri ya Tunisia - الجمهرية التونسية) ni nchi ya [[Afrika]] ya Kaskazini inayopakana na [[Bahari ya Mediteranea]], [[Libya]] na [[Algeria]]. Mji mkuu ni [[Tunis]] iliyoko mahali pa [[Karthago]] ya kale. |
||
Wakazi karibu wote hutumia lugha ya [[Kiarabu]]. Takriban watu 200,000 wanaendelea kuzungumza [[Kiberber]] ambacho ni lugha ya asili ya wenyeji lakini [[Waberber]] wengi wameshaanza kutumia Kiarabu. |
Wakazi karibu wote hutumia lugha ya [[Kiarabu]]. Takriban watu 200,000 wanaendelea kuzungumza [[Kiberber]] ambacho ni lugha ya asili ya wenyeji lakini [[Waberber]] wengi wameshaanza kutumia Kiarabu. |
||
Tunisia ilikuwa jimbo la "Africa" katika [[Dola la Roma]]. Eneo lake limewahi kutawaliwa na [[Wafinikia]] wa Karthago, [[Waroma]] wa Kale, [[Wavandali]], [[Waarabu]], [[Waturuki]] na [[Wafaransa]]. |
Tunisia ilikuwa jimbo la "Africa" katika [[Dola la Roma]]. Eneo lake limewahi kutawaliwa na [[Wafinikia]] wa Karthago, [[Waroma]] wa Kale, [[Wavandali]], [[Waarabu]], [[Waturuki]] na [[Wafaransa]]. |
||
{{ |
{{Mbegu-jio-Afrika}} |
||
{{Commons}} |
{{Commons}} |
||
Pitio la 15:37, 15 Februari 2013
Lugha rasmi | Kiarabu1 |
Mji mkuu | Tunis |
Aina ya serikali | Jamhuri |
Raisi | Zine el-Abidine Ben Ali |
Waziri Mkuu | Mohamed Ghannouchi |
Eneo | 163.610 km² |
Wakazi | 9.974.722 (Julai 2004) |
Wakazi kwa km² | 60 |
Uhuru | 20 Machi 1956 (kutoka Ufaransa) |
Pesa | Dinari ya Tunisia |
Wakati | UTC +1 |
Wimbo wa Taifa | Humata l-hima |
Sikukuu ya Taifa | 7 Novemba |
(1) Lugha ya elimu ni Kifaransa | |
Tunisia (Jamhuri ya Tunisia - الجمهرية التونسية) ni nchi ya Afrika ya Kaskazini inayopakana na Bahari ya Mediteranea, Libya na Algeria. Mji mkuu ni Tunis iliyoko mahali pa Karthago ya kale.
Wakazi karibu wote hutumia lugha ya Kiarabu. Takriban watu 200,000 wanaendelea kuzungumza Kiberber ambacho ni lugha ya asili ya wenyeji lakini Waberber wengi wameshaanza kutumia Kiarabu.
Tunisia ilikuwa jimbo la "Africa" katika Dola la Roma. Eneo lake limewahi kutawaliwa na Wafinikia wa Karthago, Waroma wa Kale, Wavandali, Waarabu, Waturuki na Wafaransa.
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tunisia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Nchi za Afrika | |
---|---|
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe | |
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika | |
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira |