Ernst Boris Chain : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza jv:Ernst Boris Chain
Minor fix using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]


'''Ernst Boris Chain''' ([[19 Juni]], [[1906]] – [[12 Agosti]], [[1979]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Kwa vile alikuwa [[Wayahudi|Myahudi]] alihamia nchi wa [[Uingereza]] wakati wa [[Adolf Hitler]] kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza [[kiua vijasumu|viua vijasumu]]. Mwaka wa [[1945]], pamoja na [[Alexander Fleming]] na [[Howard Walter Florey]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''. Mwaka wa [[1969]] alipewa cheo cha "Sir".
'''Ernst Boris Chain''' ([[19 Juni]] [[1906]] – [[12 Agosti]] [[1979]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Ujerumani]]. Kwa vile alikuwa [[Wayahudi|Myahudi]] alihamia nchi wa [[Uingereza]] wakati wa [[Adolf Hitler]] kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza [[kiua vijasumu|viua vijasumu]]. Mwaka wa [[1945]], pamoja na [[Alexander Fleming]] na [[Howard Walter Florey]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''. Mwaka wa [[1969]] alipewa cheo cha "Sir".


{{mbegu-mwanasayansi}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}


{{DEFAULTSORT:Chain, Ernst Boris}}
{{DEFAULTSORT:Chain, Ernst Boris}}

Pitio la 21:35, 14 Februari 2013

Ernst Boris Chain (19 Juni 190612 Agosti 1979) alikuwa daktari kutoka nchi ya Ujerumani. Kwa vile alikuwa Myahudi alihamia nchi wa Uingereza wakati wa Adolf Hitler kupokea utawala wa Ujerumani. Chain hasa alichunguza viua vijasumu. Mwaka wa 1945, pamoja na Alexander Fleming na Howard Walter Florey alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba. Mwaka wa 1969 alipewa cheo cha "Sir".

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ernst Boris Chain kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.