David Hubel : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza tr:David H. Hubel
Minor fix using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]
[[Picha:Tuzo Nobel.png|left|80px]]


'''David Hunter Hubel''' (amezaliwa [[27 Februari]], [[1926]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Kanada]]. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini [[Marekani]]. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa [[1981]], pamoja na [[Roger Sperry]] na [[Torsten Wiesel]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''.
'''David Hunter Hubel''' (amezaliwa [[27 Februari]] [[1926]]) alikuwa daktari kutoka nchi ya [[Kanada]]. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini [[Marekani]]. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa [[1981]], pamoja na [[Roger Sperry]] na [[Torsten Wiesel]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel ya Tiba]]'''.


{{mbegu-mwanasayansi}}
{{Mbegu-mwanasayansi}}


{{DEFAULTSORT:Hubel, David}}
{{DEFAULTSORT:Hubel, David}}

Pitio la 20:52, 14 Februari 2013

David Hunter Hubel (amezaliwa 27 Februari 1926) alikuwa daktari kutoka nchi ya Kanada. Baadaye alihamia na kufanya kazi nchini Marekani. Hasa alichunguza jinsi habari za macho zinazofikishwa ubongoni. Mwaka wa 1981, pamoja na Roger Sperry na Torsten Wiesel alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu David Hubel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.