John F. Kennedy : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.2) (Roboti: Imeongeza mzn:جان اف. کندی
d Minor fix using AWB
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:John F. Kennedy, White House color photo portrait.jpg|thumb|right|John F. Kennedy]]
[[Picha:John F. Kennedy, White House color photo portrait.jpg|thumb|right|John F. Kennedy]]
'''John Fitzgerald Kennedy''' ([[29 Mei]], [[1917]] – [[22 Novemba]], [[1963]]) alikuwa Raisi wa [[Marekani]]. Alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto 9. Baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu. Ukoo wa Kennedy una asili ya [[Ueire|Kiirish]]. [[Vita Kuu ya Pili]] ilipoanza alijiunga na [[jeshi la wanamaji]]. 1943 alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za [[Japani]]. Mwaka 1947 alianza kujiingiza katika siasa na 1960 alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba, 1963. Atakumbukwa pia kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi.
'''John Fitzgerald Kennedy''' ([[29 Mei]] [[1917]] – [[22 Novemba]] [[1963]]) alikuwa Raisi wa [[Marekani]]. Alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto 9. Baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu. Ukoo wa Kennedy una asili ya [[Ueire|Kiirish]]. [[Vita Kuu ya Pili]] ilipoanza alijiunga na [[jeshi la wanamaji]]. 1943 alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za [[Japani]]. Mwaka 1947 alianza kujiingiza katika siasa na 1960 alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba 1963. Atakumbukwa pia kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi.


Alisema "Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".
Alisema "Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".

Pitio la 20:49, 13 Februari 2013

John F. Kennedy

John Fitzgerald Kennedy (29 Mei 191722 Novemba 1963) alikuwa Raisi wa Marekani. Alikuwa mtoto wa pili katika familia ya watoto 9. Baba yake alikuwa mfanyabiashara maarufu. Ukoo wa Kennedy una asili ya Kiirish. Vita Kuu ya Pili ilipoanza alijiunga na jeshi la wanamaji. 1943 alijeruhiwa katika shambulio lililofanywa na ndege za kivita za Japani. Mwaka 1947 alianza kujiingiza katika siasa na 1960 alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani. Aliuawa kwa kupigwa risasi tarehe 22 Novemba 1963. Atakumbukwa pia kwa kutetea haki za watu wote bila kujali rangi.

Alisema "Wamarekani wasiulize Marekani imewatendea nini bali wajiulize kwanza wao wenyewe wameitendea nini nchi yao".

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John F. Kennedy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA