Kisotho-Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza vep:Sesoto
d r2.7.3rc2) (Roboti: Imeongeza is:Sótó
Mstari 28: Mstari 28:
[[hr:Južni sotho jezik]]
[[hr:Južni sotho jezik]]
[[id:Bahasa Sesotho]]
[[id:Bahasa Sesotho]]
[[is:Sótó]]
[[it:Lingua sotho del sud]]
[[it:Lingua sotho del sud]]
[[ja:ソト語]]
[[ja:ソト語]]

Pitio la 15:13, 13 Februari 2013

Kisotho-Kusini ni lugha ya Kibantu nchini Afrika Kusini inayozungumzwa na Wasotho. Mwaka wa 2006 idadi ya wasemaji wa Kisotho-Kusini nchini Afrika Kusini imehesabiwa kuwa watu 4,240,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kisotho-Kusini kiko katika kundi la S30.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisotho-Kusini kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.