Simon Bolivar : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.6.5) (Roboti: Imeongeza pms:Simón Bolívar
Mstari 97: Mstari 97:
[[pap:Simón Bolívar]]
[[pap:Simón Bolívar]]
[[pl:Simón Bolívar]]
[[pl:Simón Bolívar]]
[[pms:Simón Bolívar]]
[[pnb:سائیمن بولیور]]
[[pnb:سائیمن بولیور]]
[[pt:Simón Bolívar]]
[[pt:Simón Bolívar]]

Pitio la 06:26, 10 Februari 2013

Simon Bolivar

Simon Bolivar alikuwa mwanasiasa na mwanajeshi katika Amerika ya Kusini aliyeongoza mapambano dhidi ya ukoloni wa Hispania. Nchi mbalimbali humkumbuka kama baba wa taifa lao.

Alizaliwa 24 Julai 1783 mjini Caracas (wakati ule: Granada mpya, leo: Venezuela) akaaga dunia mjini Santa Marta (Kolombia) tar. 17 Desemba 1830.

Kama jemadari alishinda jeshi la Hispania kati ya 1810 na 1820.

Bolivar alikuwa kwa nyakati mbalimbali

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Simon Bolivar kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.