Tobias Asser : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d robot Adding: bg:Тобиас Михаел Карел Асер |
d robot Adding: zh:托比亚斯·阿赛尔 |
||
Mstari 29: | Mstari 29: | ||
[[ru:Ассер, Тобиас]] |
[[ru:Ассер, Тобиас]] |
||
[[sv:Tobias Asser]] |
[[sv:Tobias Asser]] |
||
[[zh:托比亚斯·阿赛尔]] |
Pitio la 16:59, 28 Oktoba 2007
Tobias Michael Carel Asser (28 Aprili, 1838 – 29 Julai, 1913) alikuwa mwanasheria kutoka nchi ya Uholanzi. Alikuwa profesa wa sheria kwenye Chuo Kikuu cha Amsterdam. Mwaka wa 1899 na tena 1907 alikuwa mwakilishi wa Uholanzi kwenye mikutano ya amani iliyofanyika katika mji wa The Hague. Mwaka wa 1911, pamoja na Alfred Fried alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel kwa Amani.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |